Autoimmune disease

Autoimmune disease

Kwa akili yako unafikir kuna mganga wa kienyeji au mitishamba anaujua ugonjwa unaitwa chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy mpaka ajue dawa ya kuutibu? Au huyo mganga anatibu ugonjwa ambao haujui wala hajawahi hata kuusikia?
Mkuu with all due respect unakosea kulinganisha namna tiba asili zinavyo tolewa na zile kisayansi za hospital.
Wao wamepata ujuzi kwa njia ya apprenticeship toka kwa mababu n.k.
Au kwa kujaribu mpaka wanapata tiba sahihi.
Hawafanyi diagnosis kama hospital.
 
Humu watu wanaleta matatizo yao, watu wanashauriana kwa experience na knowledge walionayo... Ni mhusika mwenyewe anaamua kufuata au kutofauta.
Mimi nilikuwa na ndugu yangu aliumwa akawa anapgwa ganzi ilianza vidole vya miguuni ikapanda hadi kiunoni, anaishi miguu inawaka moto inakaza halali kutembea hawezi, tumezunguka hospital anatumia dawa lakini wapi.
Kuna mtu humu si daktari alishauri atumie dawa inauzwa 12000 wakat hapo tulikuwa tumeshatumia ela nyingi, tumetembelea hospitali kibao.
Ile dawa alipoanza kuitumia alianza kupata nafuu mpaka leo yuko sawa anatembea yuko vzuri na hiyo ilikuwa 2017 hadi 2018.
Na watu wengi huwa wanakuja humu baada ya kuwa wanaona matibabu wanayopewa hayaleti matokeo.
Nitajie jina lake
 
Back
Top Bottom