Ghayo TheMongo Barbarian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 248
- 501
Nakubali pamoja sana.Aminia mwamba
Naheshimu maoni yako mkuu.Ushuzi mtupuπ€¨
Navutiwa zaidi na Avatar ya Mshana Jr, Pascal Mayalla na wengine wote wanaotumia sura zao halisi zinazoonekana vizuriMzuka Wana jamvi.....
Yerereeee rereeeeee!!!!
1. Imekaa kinyamwezi
2. Iko really
3. Toka nijiungeJf sijawahi kuibadilisha
4. Ina vitamin zote
5. Sina haja kutongoza humu mademu automatically wananizimia jinsi nilivyo hensamu
6. Ongezeeni nyinyi wadau
Hahahahaha!!! unyama sanaaa
Ni kuwasapoti tu mkuu ili wasijiskie upwekeInabidi Maxence Melo uanze kupitisha kwanza mitihani ili mtu kabla hajajiunga humu afuzu kwanza maana skuizi hadi wagonjwa wa akili wanajiunga humu na kuanzisha nyuzi za hovyo
Watu wenye afya ya akili hawafai kusapotiwa odoNi kuwasapoti tu mkuu ili wasijiskie upweke
Uzi wa Ebang Egonga , watu wanachambua Mizagamuo na ujinga kama wanachambua maendeleo na uchumi wa Taifa umefika page kibao na viewers wengi watu mnafurahi na kucheka , halafu Mimi Uzi wangu wa kujifurahisha tena jukwaa la jokes mnaanza kunidhihaki na kunidharau kama sina akili vile.jf ipitishe mitihani mtu kabla hajajiunga tutahadhirika muda si mrefu
Huo mwandiko wako mbona kama Raia wa GuineaMzuka Wana jamvi.....
Yerereeee rereeeeee!!!!
1. Imekaa kinyamwezi
2. Iko really
3. Toka nijiungeJf sijawahi kuibadilisha
4. Ina vitamin zote
5. Sina haja kutongoza humu mademu automatically wananizimia jinsi nilivyo hensamu
6. Ongezeeni nyinyi wadau
Hahahahaha!!! unyama sanaaa
Namkubali sana natamani aje ajambe kidogo ndio role model wangu yeye pamoja na The Mongolian SavageCc Maghayo π
hivyo unalia..?π€£Uzi wa Ebang Egonga , watu wanachambua Mizagamuo na ujinga kama wanachambua maendeleo na uchumi wa Taifa umefika page kibao na viewers wengi watu mnafurahi na kucheka , halafu Mimi Uzi wangu wa kujifurahisha tena jukwaa la jokes mnaanza kunidhihaki na kunidharau kama sina akili vile.
Ila sawa yote maisha mnanitenga kisa Mimi mgeni ...
Uko mkoa gani?Uzi wa Ebang Egonga , watu wanachambua Mizagamuo na ujinga kama wanachambua maendeleo na uchumi wa Taifa umefika page kibao na viewers wengi watu mnafurahi na kucheka , halafu Mimi Uzi wangu wa kujifurahisha tena jukwaa la jokes mnaanza kunidhihaki na kunidharau kama sina akili vile.
Ila sawa yote maisha mnanitenga kisa Mimi mgeni ...