The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
HahahaSo ni sawa kusema amepanua wigo umekua Mpana right?👐 Huyu anapenda ujinga kwerikweri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaSo ni sawa kusema amepanua wigo umekua Mpana right?👐 Huyu anapenda ujinga kwerikweri.
Oya kaa mbali acha kunipa tuhuma chafu acha niEnjoy maisha yangu Jf , ukiMake wrong move again nitakudestroy completely and mercilessly..Yani jamaa anakera sana kachukua avatar picha yangu ya ID ya Maghayo akaweka kwenye ID yake.
Kumbe una ID nyingine ya Maghayo Leo umejaa kwenye mfumo umejisema mwenyewe !!... Kenge Marass wewe huu ni ushahidi tosha kwa mods kuunga account.Yani jamaa anakera sana kachukua avatar picha yangu ya ID ya Maghayo akaweka kwenye ID yake.
Kwa pamoja tunaunda The Ghayos Mafia Gang , Mimi nikiwa kama Muasi wa kundi
Haujakosea umetisha sana mkuu.Aiseeeeh!
Lakini unaonekana muuuurembo haswa, black beauty 🤣
Atakaebisha ni mshamba.Kwani tumebisha
Binti Kiziwi miongoni mwa member ambao nawapenda na kuwakubali sana humu , na nimehisi Faraja san moyoni mwangi nilipoona umechangia Uzi wangu huu.😀😀😀 umeanza!
Nakupenda zaidi mbusi wa ChaliifranciscoBinti Kiziwi miongoni mwa member ambao nawapenda na kuwakubali sana humu , na nimehisi Faraja san moyoni mwangi nilipoona umechangia Uzi wangu huu.
Kama kazi hatuna tufanyejeMwanaume anayejisifia kuwa ni mzuri anaalika folen ya kabang yake.
Mkuu una biashara gani unayotangaza.
Mwanaume anajivunia kazi na siyo sura yake
Tunaangalia au kusoma mantiki, ujumbe mahususi ulioweka, hayo ya sijui avatar, mapicha picha weka sebuleni kwako tukija kunywa chai tutakusifu huko.Mzuka Wana jamvi.....
Yerereeee rereeeeee!!!!
1. Imekaa kinyamwezi
2. Iko really
3. Toka nijiungeJf sijawahi kuibadilisha
4. Ina vitamin zote
5. Sina haja kutongoza humu mademu automatically wananizimia jinsi nilivyo hensamu
6. Ongezeeni nyinyi wadau
Hahahahaha!!! unyama sanaaa
Nipo mkuu nacheki mtanange mkali hapa , ila nashauri h The Mongolian Savage , The Stress Challengerr , Maghayo na Magahyo mpya waungane wawe kitu komoja maana kundi litavunjika wakiwa wanatwangana Wenyewe kwa Wenyewe.Cc adriz 😃
Sina mkuu nicheki PM nipate ishu hata ya kuingiza buku 3 kwa siku.Umri wako ni miaka mingapi?Una shughuli yoyote ya kukuingizia kipato angalau elfu 10 kwa siku?Kama hauna nitafute ili upunguze kuchezea muda
Unyamer sana.Mnavituko jamn