Avatar yangu ndio Avatar yenye mvuto Zaidi Jf

Avatar yangu ndio Avatar yenye mvuto Zaidi Jf

Inabidi Maxence Melo uanze kupitisha kwanza mitihani ili mtu kabla hajajiunga humu afuzu kwanza maana skuizi hadi wagonjwa wa akili wanajiunga humu na kuanzisha nyuzi za hovyo
Mkuu Jf Kuna nyuzi nyingi za kipumbavu unakuta watu wanaombana konesksheni na kujadili Mizagamuo... Sasa Mimi nimekuja huku jokes kujifurahisha naona nashambuliwa utadhani huu Uzi nimeleta jukwaa la Siasa au Intelligence.
 
mfano pumba ipi..??
IMG_20241108_152852.jpg
 
Mwanaume anayejisifia kuwa ni mzuri anaalika folen ya kabang yake.

Mkuu una biashara gani unayotangaza.

Mwanaume anajivunia kazi na siyo sura yake
Hakuna ubaya mkuu kujisifia Mimi ni hensamu

Sina biashara bado Jobless naishai kwa wazazi ila Kuna michongo bado nasikilizia na Mimi nitoke nyumbani nianze kujitegemea.
 
Back
Top Bottom