Ghayo TheMongo Barbarian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 248
- 501
- Thread starter
- #21
Nashukuru sana mkuu , ndivyo inavyotakiwa hata mgonjwa anahitaji matumani ya uwongo sometimes ili a surviveNi kuwasapoti tu mkuu ili wasijiskie upweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuu , ndivyo inavyotakiwa hata mgonjwa anahitaji matumani ya uwongo sometimes ili a surviveNi kuwasapoti tu mkuu ili wasijiskie upweke
🙌🏾😂Sitii nenoWatu wenye afya ya akili hawafai kusapotiwa odo
Wani lavuNashukuru sana mkuu , ndivyo inavyotakiwa hata mgonjwa anahitaji matumani ya uwongo sometimes ili a survive
Mkuu Jf Kuna nyuzi nyingi za kipumbavu unakuta watu wanaombana konesksheni na kujadili Mizagamuo... Sasa Mimi nimekuja huku jokes kujifurahisha naona nashambuliwa utadhani huu Uzi nimeleta jukwaa la Siasa au Intelligence.Inabidi Maxence Melo uanze kupitisha kwanza mitihani ili mtu kabla hajajiunga humu afuzu kwanza maana skuizi hadi wagonjwa wa akili wanajiunga humu na kuanzisha nyuzi za hovyo
Haujakosea mkuuHuo mwandiko wako mbona kama Raia wa Guinea
MoroUko mkoa gani?
Unazingua mkuu wakati wewe unaongoza kupost pumba humu .hivyo unalia..?🤣
mfano pumba ipi..??Unazingua mkuu wakati wewe unaongoza kupost pumba humu .
mfano pumba ipi..??
that was a joke
Hakuna ubaya mkuu kujisifia Mimi ni hensamuMwanaume anayejisifia kuwa ni mzuri anaalika folen ya kabang yake.
Mkuu una biashara gani unayotangaza.
Mwanaume anajivunia kazi na siyo sura yake
And this is a joke.that was a joke
kapimwe wewe...😂And this is a joke.
Unyamer sana , umetisha mkuu..kapimwe wewe...😂
Yani jamaa anakera sana kachukua avatar picha yangu ya ID ya Maghayo akaweka kwenye ID yake.😀😀😀 umeanza!
Maghayo The Stress Challengerr The Mongolian Savage noma sana hii bia moto kitimoto motoMongolia mwenzangu The Mongolian Savage toa maoni yako Tafadhali.
So ni sawa kusema amepanua wigo umekua Mpana right?👐 Huyu anapenda ujinga kwerikweri.Yani jamaa anakera sana kachukua avatar picha yangu ya ID ya Maghayo akaweka kwenye ID yake.