Avatar

Jamani hizi avatar tunazoweka zinawafanya watu wapate mawazo gani? Mimi nimechoka nabadilisha yangu right now.
khaah!yaani umebadili kweli?kwa ujumla sasa hivi hutambuliki,mimi mwenyewe nshakusahau lakini ilivutia sana mmh:
 
Kumbe some people are more serious with this issue? mi nilijua mtu akicomment kuhusu avatar or signature ni kama utani vile!! any way we r living in different world now everything possible!!
 
Kumbe some people are more serious with this issue? mi nilijua mtu akicomment kuhusu avatar or signature ni kama utani vile!! any way we r living in different world now everything possible!!

sasa mangi kama hiyo yako............nashindwa nisemeje!!! ulianza mbege au sigareti???
 
Jamani hizi avatar tunazoweka zinawafanya watu wapate mawazo gani? Mimi nimechoka nabadilisha yangu right now.
Kulikoni? Tujuze wenzako pengine kuna kitu kimejificha kwenye hilo, kuwa wazi bibie.
 
sasa mangi kama hiyo yako............nashindwa nisemeje!!! ulianza mbege au sigareti???
ha ha ha bibie umenikumbusha mbege dah ntarudi tu mgombani!! nilikua na ya kwanza ya nyoka ila watu walilamika nikaitoa...hii asee niliitolea maelezo kule kwenye avatar yako inamaanisha nn!! Aika mae kwa kunikumbusha mbege!!
 
Jamani hizi avatar tunazoweka zinawafanya watu wapate mawazo gani? Mimi nimechoka nabadilisha yangu right now.

kuna THREAD ilikuwepo hapa kuhusu majina ya members JF,kila mtu alisema jina lake linamaanisha nini,wengi nick name zao zilishabihiana na wao wanavyojichukulia, sasa naona the same applies to AVATAR watu wanahisi zinapresent mtu alivyo,binafsi nikiona ya FIRSTLADY,PEARL,BINTI MARINGO na JS na-assume ndio walivyo hata kama najua picha sio zao,but kutongoza thats a step too far.
 
ha ha ha bibie umenikumbusha mbege dah ntarudi tu mgombani!! nilikua na ya kwanza ya nyoka ila watu walilamika nikaitoa...hii asee niliitolea maelezo kule kwenye avatar yako inamaanisha nn!! Aika mae kwa kunikumbusha mbege!!

heheee wachaga wanaanzaga mbege tangu tumboni mwa mama.......its health bana
aika mbe!!!
 
heheee wachaga wanaanzaga mbege tangu tumboni mwa mama.......its health bana
aika mbe!!!
Hii mila hatuwezi acha asee...."lakucha mae" let me sign off
 
Jamani hizi avatar tunazoweka zinawafanya watu wapate mawazo gani? Mimi nimechoka nabadilisha yangu right now.

I don't even remember your Avatar, so siwezi kusema kama ilinikwaza au

Pearl na wewe badili basi ya kwako na Binti Maringo naye abadili
 
I know but what can i do? nachoka kuwaambia kwamba I am successful and happily married and that i dont need any of them. Natafuta avatar itakayotoa hii msg.

I am very happy for you…. Congratulation Carmel! Yes! It is possible to be successful and happily married…just play your part 😉
Hizi Avatar zina mambo! Njembas zimeng’ang’ana tu hazitaki kukuachia hata upumue kidogo…LOL! labda utaanzisha trend hapa jamvini ya watu kuachana na Avatar....lakini sidhani maana wengine wanazipenda avatar zao kupita kiasi 🙂
 
Du sisi wengine tunaopiga box 16hrs a day kule UPS na FEDEX tukirudi home hoi, kwa hiyo hata hizo avatar huwa hatuzioni kabisaa!. Kumbe tunakosa mambo, we need to pay attention my fellow box handlers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…