Avatar

 
Unakumbuka nilikushaurije?
Narudia tena mamaa la Carmel!
Ukiitoa hiyo avatar unaingia kwenye IGNORE LIST yangu
Mbona huu msisitizo umezidi? una ajenda gani ya siri wewe?Kwani na wewe unamuvuzishwa na avatar?
 
hapo ndo mtakuwa mmeharibu!uzoefu unatuthibitishia kwamba hakuna wanawake wenye mvuto KAMA WAKE ZA WATU!.....
skia sasa, hawa viumbe mbona hivi?
 
Unakumbuka nilikushaurije?
Narudia tena mamaa la Carmel!
Ukiitoa hiyo avatar unaingia kwenye IGNORE LIST yangu
hata ukiniweka kwenye ignore list si mbaya sna at least kwa week, ngoja nifanye experiment ingine nione matokeo
 
Umenisababishia dhambi nyingi na hiyo ya kwako!😀😀
ibadilishe bana

Ha ha haaaaa, siamini avatar ilikuwa inakusababishia dhambi, yale mathread yako mi nilidhani ngangali, kumbe avatar tu inakusababishia dhambi, sasa ungekutana naye je?
 
Mbona huu msisitizo umezidi? una ajenda gani ya siri wewe?Kwani na wewe unamuvuzishwa na avatar?
WAKATINIPO FORM THREE,nakumbuka kuna washkaji(wenzetu walikuwa wakubwa kidogo) walikuwa wanakuja na chupi za wanawake(wapenzi wao KWA MUJIBU WA MAELEZO YAO)..!wameziweka kwenye ma-tranka humo wanadai zinawapandisha stimu...!maisha ya booding bana😀
 
Ha ha haaaaa, siamini avatar ilikuwa inakusababishia dhambi, yale mathread yako mi nilidhani ngangali, kumbe avatar tu inakusababishia dhambi, sasa ungekutana naye je?
hehehehe!do you think so?
 
 
ah ah ah u made my dei swty,maybe tufanye hivyo eti eeeeeeh,na wao waandike baba chausiku,mzee wa kupitia tu madem,jambazi,kaoa kaacha,asiye na huruma etc

hahahaah mie pia umenichekesha hivi Chrispin yuko wapi aje abadilishe name ya Avatar yake

sijui itaenda kiivi -muzee ya kufukuzia Iribin
 
hizo story naskia wanafanyaga wanajeshi wakienda vitani lol. wanaume mna mambo
 
dah! ebwanaeee.
Nimigundua kumbe wanaume mna tabu sana.japo mnajifanya jasiri na wababe.kumbe mna vishida vya chinichini na inawezekana ni uumbaji si kosa lenu.
 

Kiongozi kaangalie nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti! You are now back to your sense! Thanks man! Baambie papaa!

Nimejitolea kuwa wa kwanza kutongozwa!
 
dah! ebwanaeee.
Nimigundua kumbe wanaume mna tabu sana.japo mnajifanya jasiri na wababe.kumbe mna vishida vya chinichini na inawezekana ni uumbaji si kosa lenu.
mwanaume HANA KABISA UJANJA akifikiria utupu wa mwanamke!.....AMINI AMINI NAWAAMBIA
 
dah! ebwanaeee.
Nimigundua kumbe wanaume mna tabu sana.japo mnajifanya jasiri na wababe.kumbe mna vishida vya chinichini na inawezekana ni uumbaji si kosa lenu.

Na nyie mnaposafiri na mashati ya waume zenu ambayo hayajafuliwa ili muwe mnajifariji na harufu ya kikwapa mbona hamsemi? Au mnafikiri hatuyajui hayo?
 
ngoja nikusaidie kutafuta Avatar mama yangu mpendwa ....una prefer iweje ??
 
hahahaah mie pia umenichekesha hivi Chrispin yuko wapi aje abadilishe name ya Avatar yake

sijui itaenda kiivi -muzee ya kufukuzia Iribin
Kwani na xpin naye huwa anasumbuliwa sana kwenye PM? Carmel yeye tatizo ni Avatar.Sasa xpin tatizo itakuwa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…