Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Sijawahi kukicheza na sitegemei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhai huwezi fananisha na betting kwasababu hakuna anayepoteza maisha ili wewe uishi, Tofauti na kamari ili upate lazima kuna anayepoteza pia maisha hayana mhindi ambaye ananufaika nayo pale ninapoyapoteza, Tofauti na Kamari ukiliwa mhindi ananufaika.Hata uhai unabahatisha kama unabisha sema lini utakufa
Wanakwambia weka pesa hicho kindege kitapaaa iongezeke na mtu alivyo kamasi anaweka kweli.
What do you mean uhai unabahatisha ? Ukinywa sumu hapo dosage kubwa utakufa kulingana na dakika ambazo zinatakiwa hio sumu kufanya kazi..., ukiishi maisha ya hatari au kwenda vitani probability yako kufa ni kubwa ukiwa mzee miaka kama mia probability ni kubwa kwamba miaka michache au siku chache zijazo utakufa na ni uhakika 100 percent kwamba hautafikisha miaka mingine 100....Hata uhai unabahatisha kama unabisha sema lini utakufa
Hiki Hakijawahi muacha mtu salamaWanakwambia weka pesa hicho kindege kitapaaa iongezeke na mtu alivyo kamasi anaweka kweli.
Watu wana pesa wacha zichezewe.Hiki Hakijawahi muacha mtu salama
Kabisa mkuu !!Watu wana pesa wacha zichezewe.
Jana nimebet 25000 kwenye odds 4,mechi 6,cha ajabu mechi tatu zimekubali lakini Man C na Inter wamechomesha.Ni bora ubet tu,hizi nyingine ambazo comptuer inakaa katikati kuchakata matokeo huo ni utapeli,lakini wabongo wengi tumelala tatizo.
PoleJana nimebet 25000 kwenye odds 4,mechi 6,cha ajabu mechi tatu zimekubali lakini Man C na Inter wamechomesha.
Mimi nimebeti mechi 8 zikatiki 7 kachana huyo huyo.Jana nimebet 25000 kwenye odds 4,mechi 6,cha ajabu mechi tatu zimekubali lakini Man C na Inter wamechomesha.
Kwahiyo wewe unauhakika huu mwaka unamaliza ukiwa hai acha habari zako wewe humu tuna akili timamu unaandika gazeti kubwa utumbo tuWhat do you mean uhai unabahatisha ? Ukinywa sumu hapo dosage kubwa utakufa kulingana na dakika ambazo zinatakiwa hio sumu kufanya kazi..., ukiishi maisha ya hatari au kwenda vitani probability yako kufa ni kubwa ukiwa mzee miaka kama mia probability ni kubwa kwamba miaka michache au siku chache zijazo utakufa na ni uhakika 100 percent kwamba hautafikisha miaka mingine 100....
Everything has probable outcomes sasa wewe kwenda against the probability na kudhani you will do this in long term ndio kubahatisha kwenyewe huko... no matter what you are doing....
Nina uhakika kwamba nikinywa sumu takufa kuna sumu tofauti tofauti nyingine ni 100 percent; Nina uhakika nikidumbukia kwenye concentrated acid siwezi kupona.... Hivi unajua hata Probability ni Nini ? Huenda kutokujua kwako ndio kunakufanya kudhani betting ni sustainableKwahiyo wewe unauhakika huu mwaka unamaliza ukiwa hai acha habari zako wewe humu tuna akili timamu unaandika gazeti kubwa utumbo tu
Nina uhakika nikiibetia yanga jumamos inashinda unasemajeNina uhakika kwamba nikinywa sumu takufa kuna sumu tofauti tofauti nyingine ni 100 percent; Nina uhakika nikidumbukia kwenye concentrated acid siwezi kupona.... Hivi unajua hata Probability ni Nini ? Huenda kutokujua kwako ndio kunakufanya kudhani betting ni sustainable
Aviator Ndio vinini kwani lo??🤔
Wacheka kamari ndiyo wanajua...Aviator Ndio vinini kwani lo??🤔
Lol! Sawa lo santo sana kwa mwongozo!Wacheka kamari ndiyo wanajua...
UshaanzaNjoo ucheze game langu.
Ni fair kabisa.
Unalipia unacheza!!