Avunjika mguu akicheza kwenye mvua uchi usiku.

Avunjika mguu akicheza kwenye mvua uchi usiku.

Hii sio chai ni alkasusu.
1704463197189.jpg
 
Mfanyakazi mwenzangu amevunjika mguu alipokuwa akicheza uchi kwenye mvua.

Kisa hiki cha ajabu kimetokea nyumbani kwake Kimara B, usiku wa kuamkia leo mvua ilipokuwa ikinyesha.

Jamaa huwa anapenda sana kucheza cheza kwenye mvua, alimtoroka mke wake kitandani, kisha akatoka nje na kuanza kukimbia huku na huko huku akiwa uchi wa mnyama.

Ikatokea bahati mbaya akateleza na kuanguka anguko lililopelekea mguu kuvunjika.

Jamaa akajiburuza hadi kwenye tiles ndipo akaanza kumuita mke wake. Mke wake alipofika akakuta mume wake yuko uchi na amevunjika mguu.


Mke akaingia ndani, akachukua tracksuit na kumvalisha ndipo wakanipigia simu kuomba msaada wa gari, sababu mimi ninaendesha Alphard la ofisini.

Nilipofika nikaona mguu umevunjika vibaya nikashauri tuite ambulance ili tusije sababisha madhara zaidi.

Ambulance ikaja, tukampeleka jamaa Muhimbili kitengo cha mifupa Moi ambako amelazwa huko akisubiri upasuaji kwani amevunjika vipande vitatu.
hizi manifestation nyingine zitakuja kuuwa watu isee...sasa uchi kwenye mvua tena!
 
Ajali zingine za kujitakia, alafu mtu anafikiria kuwa ni uchawi. Akome.
 
Mfanyakazi mwenzangu amevunjika mguu alipokuwa akicheza uchi kwenye mvua.

Kisa hiki cha ajabu kimetokea nyumbani kwake Kimara B, usiku wa kuamkia leo mvua ilipokuwa ikinyesha.

Jamaa huwa anapenda sana kucheza cheza kwenye mvua, alimtoroka mke wake kitandani, kisha akatoka nje na kuanza kukimbia huku na huko huku akiwa uchi wa mnyama.

Ikatokea bahati mbaya akateleza na kuanguka anguko lililopelekea mguu kuvunjika.

Jamaa akajiburuza hadi kwenye tiles ndipo akaanza kumuita mke wake. Mke wake alipofika akakuta mume wake yuko uchi na amevunjika mguu.


Mke akaingia ndani, akachukua tracksuit na kumvalisha ndipo wakanipigia simu kuomba msaada wa gari, sababu mimi ninaendesha Alphard la ofisini.

Nilipofika nikaona mguu umevunjika vibaya nikashauri tuite ambulance ili tusije sababisha madhara zaidi.

Ambulance ikaja, tukampeleka jamaa Muhimbili kitengo cha mifupa Moi ambako amelazwa huko akisubiri upasuaji kwani amevunjika vipande vitatu.

Jamaa anasema tukio hili lina mkono wa mtu, kwani ana shamba Vikindu, jirani yake alimega kipande cha shamba hilo. Wamehangaishana kwenye baraza la ardhi la kata, jamaa yangu akashinda. Yule jirani yake akamwambia lazima amfanye kitu mbaya
Ahah story inachekesha sana. Nitaenda muona hapo
 
Mfanyakazi mwenzangu amevunjika mguu alipokuwa akicheza uchi kwenye mvua.

Kisa hiki cha ajabu kimetokea nyumbani kwake Kimara B, usiku wa kuamkia leo mvua ilipokuwa ikinyesha.

Jamaa huwa anapenda sana kucheza cheza kwenye mvua, alimtoroka mke wake kitandani, kisha akatoka nje na kuanza kukimbia huku na huko huku akiwa uchi wa mnyama.

Ikatokea bahati mbaya akateleza na kuanguka anguko lililopelekea mguu kuvunjika.

Jamaa akajiburuza hadi kwenye tiles ndipo akaanza kumuita mke wake. Mke wake alipofika akakuta mume wake yuko uchi na amevunjika mguu.


Mke akaingia ndani, akachukua tracksuit na kumvalisha ndipo wakanipigia simu kuomba msaada wa gari, sababu mimi ninaendesha Alphard la ofisini.

Nilipofika nikaona mguu umevunjika vibaya nikashauri tuite ambulance ili tusije sababisha madhara zaidi.

Ambulance ikaja, tukampeleka jamaa Muhimbili kitengo cha mifupa Moi ambako amelazwa huko akisubiri upasuaji kwani amevunjika vipande vitatu.

Jamaa anasema tukio hili lina mkono wa mtu, kwani ana shamba Vikindu, jirani yake alimega kipande cha shamba hilo. Wamehangaishana kwenye baraza la ardhi la kata, jamaa yangu akashinda. Yule jirani yake akamwambia lazima amfanye kitu mbaya
Bila picha huu Uzi ni batili
 
Uliacha usingizi, ukaacha mke kitandani, ukatoka nje usiku kucheza kwenye mvua ukavunjika mguu. Halafu unasema hilo tukio lina mkono wa mtu. Jamaa yako alitiwa dole na huo mkono wa mtu akaamua kutoka nje uchi uchi au ni nini hasa unachojaribu kusema.?
 
..tena uchi wa mnyama? alikuwa anawanga huyo na avunjikage tu shuwain!
 
Alikwenda kutafuta nyege ili akiingia amka de mke vizuri haya sasa nyege zimemla mguu
 
Mfanyakazi mwenzangu amevunjika mguu alipokuwa akicheza uchi kwenye mvua.

Kisa hiki cha ajabu kimetokea nyumbani kwake Kimara B, usiku wa kuamkia leo mvua ilipokuwa ikinyesha.

Jamaa huwa anapenda sana kucheza cheza kwenye mvua, alimtoroka mke wake kitandani, kisha akatoka nje na kuanza kukimbia huku na huko huku akiwa uchi wa mnyama.

Ikatokea bahati mbaya akateleza na kuanguka anguko lililopelekea mguu kuvunjika.

Jamaa akajiburuza hadi kwenye tiles ndipo akaanza kumuita mke wake. Mke wake alipofika akakuta mume wake yuko uchi na amevunjika mguu.


Mke akaingia ndani, akachukua tracksuit na kumvalisha ndipo wakanipigia simu kuomba msaada wa gari, sababu mimi ninaendesha Alphard la ofisini.

Nilipofika nikaona mguu umevunjika vibaya nikashauri tuite ambulance ili tusije sababisha madhara zaidi.

Ambulance ikaja, tukampeleka jamaa Muhimbili kitengo cha mifupa Moi ambako amelazwa huko akisubiri upasuaji kwani amevunjika vipande vitatu.

Jamaa anasema tukio hili lina mkono wa mtu, kwani ana shamba Vikindu, jirani yake alimega kipande cha shamba hilo. Wamehangaishana kwenye baraza la ardhi la kata, jamaa yangu akashinda. Yule jirani yake akamwambia lazima amfanye kitu mbaya
Kweli uchizi upo wa Aina nyingi.
 
Back
Top Bottom