KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Jamaa ni chizi mwenzanguKweli uchizi upo wa Aina nyingi.
Mwanga huyoSijui kama alikuwa anawanga kama usemavyo
Alienda kumuwangia huyo mbaya wake akamkuta yuko njema zaidi yake akapigwa mweleka na kuvunjwavunjwa mguu.Ndio. Yeye anasema alipigwa mweleka na wachawi
jamaa ana matumiz mabaya ya ucciAisee!?
Anaacha kumuenjoy mkewe wakati wa nvua anakwenda kuchezea nvua.
Hakika watu hawajui matumizi ya wakati?
Wacha tu wampige mweleka, si alijifanya wenzao kumbe ni chawa tu... Akome asijaribu fani kama Hana ujuziππNdio. Yeye anasema alipigwa mweleka na wachawi
Kasema alphard LA ofisinhongera kwa kuendesha Alphard ya ofisini ndugu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee!?
Anaacha kumuenjoy mkewe wakati wa nvua anakwenda kuchezea nvua.
Hakika watu hawajui matumizi ya wakati?