Polisi siyo hospitali kusema utapewa uji, Polisi siyo sekondari kuwa utapewa madaftari. You mess up with theirs orders lazima uchezee kichapoKwakua hakuna ndugu yako aliyechezea mkong'oto
Raisi Samia kutuma Askari awapige Wapinzani😳 Sizani...Lets wait and See, ila Jamaa UIGP bye bye- Iwapo kama atapewa UIGP kama unavyosemwa then kweli ntaamini anausikaRais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
unaweza ku prove kuwa hawakufanya hivyo?Unaweza uka prove kama Awadh alianza kuwapiga bila sababu. Au hufahamu shombo za Lissu, Sugu na Mnyika?
Lawful order ambayo law yake ni kandamizi!!If you resist a lawful order from Police expect brutal reaction. Kwa nini waliopigwa ni Lissu, Sugu na Mnyika? Na siyo wengine
sijasikiliza upande mmoja, i have watu walioko pale, and i experienced that before, sehem ambayo mtu haja resist lakin wanatumia minguvu kupitiliza so sishangai.Wewe ulikuwepo kwenye zoezi la ukamataji mpka useme polis hawakutumbia reasonable force?, au unasikiliza drama za wanasiasa, human being are political animals so beautiful carefull
Unatakiwa uzuie kabla ya kitendo maana ukiwaachia wa Mbeya utawaumiza wengi na utasikia wa Arusha nao wameingia mara wa Dar then wa Moro mtiti unakuahinda.Hivi nyinyi mnaolaumu polisi mnajuwa thamani yao kwa kweli? Siku moja tu tuwatoe polisi wote halafu ndio mtaona umuhimu wao. Hivi wewe ukiona mtu analeta kauli za kuchochea vurugu utasubiri tu mpaka siku vurugu zimeanza ndio uamke. Wafanye siasa lakini sio kulete kauli za kuto heshimu mamlaka, mlitaka polisi wafanye nini? wakae kimyaa. Wanasema mkunje samaki angali mbichi, ukiwachekea nyani...tuache kutafuta huruma wanasiasa wowote kwao kupigwa, kutia mikashikashi na polisi ndio kick yao na Rais aka act akafinika kick yao kwa kubadili watu tu.
He was trained to apply force in circumstances like those ones. Ule siyo mkutano wa Mwakasege kuwa utabembelezwaunaweza ku prove kuwa hawakufanya hivyo?
If then why police hawajajitokea kunakunasha including huyo awadh?
I know michezo ya wanasiasa but kuna mahali ikifika police wanavuka red lines. Watu kama wale ni kuwaita kwa barua no need for violence
Nini kilimpelekea awadh kutumia nguvu kupitiliza as if wahusika ni majambazi yenye silaha?
Of course yes. You mess up with their orders and you face the consequences.Lawful order ambayo law yake ni kandamizi!!
Kwani chadema wamefanyiwa vitendo gani mambo mnatutisha ukizingatia wote walikuwa vidume?Rais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
Miaka hiyo, Wakati na serve nchi yangu kwenye chombo kimoja wapo as member wa security force ya nchi hii, i was taught where and when to use lethal force, and i know rules zote za ukamataji.He was trained to apply force in circumstances like those ones. Ule siyo mkutano wa Mwakasege kuwa utabembelezwa
Wewe ndiyo hakuna kitu kabisa. Hakuna unachoelewa kwenye kanuni za utendaji kazi za jeshi la polisi. Hivi una uelewa hata mdogo wa PGO au unabwabwaja tu? Unaelewa ni mazingira gani polisi amepewa mamlaka ya kutumia nguvu, na ni wakati gani haruhusiwi?Polisi siyo hospitali kusema utapewa uji, Polisi siyo sekondari kuwa utapewa madaftari. You mess up with theirs orders lazima uchezee kichapo
Eti ambayo would have costed our nation property loss and peace...! Stuxnet, Stuxnet, Stuxnet...asante sana, endela hivyo hivyo! Leo humu usitoke. Umetufungua macho na ushahidi wako ni muhimu sana!Mitano tena kwa huyu mwamba Awadh. Single handedly ameweza kuzuia HOOLIGANISM ya hawa wapumbavu ambayo would have costed our nation property loss and peace
Wapinzani wa kisiasa waliopo Tanzania mnajisumbua tu, matamko na malalamiko yenu Wala hayawezi kuihangaisha CCM, Polisi au vyombo vingine vya Usalama.Rais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Pia soma: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
Ni dhahiri ulipoandika huu upuuzi/ushuzi ulikuwa umelewa gongo.Contrary to that, Awadh alifanya kazi ya kutukuka katika nchi hii. Anastahili Promotion. Ni kwa vile akili zako zipo katika mihemko. Angecheza nchi hii ingekuwa katika hali mbaya ya machafuko kama Kenya au Bangladesh. Kazi kuu ya Polisi si kukamata bali kuzuia uharifu. Muulize Ruto ndipo utajua utawala ni nini. Kwa asiyeitakia TZ mema anachukizwa na kazi ya Awadh.
The issue is: We appreciate the role of police in the society, but when they go beyond their jurisdiction, then we have to querry and raise a loud, a very loude concern!Hivi nyinyi mnaolaumu polisi mnajuwa thamani yao kwa kweli? Siku moja tu tuwatoe polisi wote halafu ndio mtaona umuhimu wao. Hivi wewe ukiona mtu analeta kauli za kuchochea vurugu utasubiri tu mpaka siku vurugu zimeanza ndio uamke. Wafanye siasa lakini sio kulete kauli za kuto heshimu mamlaka, mlitaka polisi wafanye nini? wakae kimyaa. Wanasema mkunje samaki angali mbichi, ukiwachekea nyani...tuache kutafuta huruma wanasiasa wowote kwao kupigwa, kutia mikashikashi na polisi ndio kick yao na Rais aka act akafinika kick yao kwa kubadili watu tu.
We can't let our country be run by dogsWewe ndiyo hakuna kitu kabisa. Hakuna unachoelewa kwenye kanuni za utendaji kazi za jeshi la polisi. Hivi una uelewa hata mdogo wa PGO au unabwabwaja tu? Unaelewa ni mazingira gani polisi amepewa mamlaka ya kutumia nguvu, na ni wakati gani haruhusiwi?
muulize mama yako kama mimi nin akili za mihemkoNi kwa vile akili zako zipo katika mihemko