Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wanasema ameahidiwa uaijipii na mwana namba oneRais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Sentensi yenyewe inakuonesha wewe ni mtu ganimuulize mama yako kama mimi nin akili za mihemko
Mimi ni mtu wa aina gani? One who can make sense out of rubbish!Sentensi yenyewe inakuonesha wewe ni mtu gani
yote inawezekanaSi wanasema ameahidiwa uaijipii na mwana namba one
Kifuatacho anateuliwa kuwa IGP for a job well doneRais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Pia soma: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
View attachment 3071388
Unateseka ukiwa wapi? Acha mihemkoMimi ni mtu wa aina gani? One who can make sense out of rubbish!
Next time jibu hoja, achana na matusi. matusi yatajibiwa kwa matusi, hoja kwa hoja!
Enjoy your day!
Utamfukuza mtu baada ya mtu huyo kutekeleza maagizo yako?Rais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Pia soma: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
View attachment 3071388
Sometimes kuropoka-ropoka kubaya unaweza unaropoka vibaya ukasababishia wengine mabalaa sasa kauli ya mtu mmoja tu Twaha Mwaipaya imesababu watu kutembezewa kichapo cha kufa mtuHizi hapa kauli za Twaha Mwaipaya:-
View attachment 3071374View attachment 3071375
Kwanini wasimkamate Mwaipaya? Tayari watu wameanza kusafiri kwenda Mbeya, unachofanya ni kuwazuia wasifike
Kasome ripoti za cag na uone polisi wamefanya nini kuhusiana na uhalifu huoContrary to that, Awadh alifanya kazi ya kutukuka katika nchi hii. Anastahili Promotion. Ni kwa vile akili zako zipo katika mihemko. Angecheza nchi hii ingekuwa katika hali mbaya ya machafuko kama Kenya au Bangladesh. Kazi kuu ya Polisi si kukamata bali kuzuia uharifu. Muulize Ruto ndipo utajua utawala ni nini. Kwa asiyeitakia TZ mema anachukizwa na kazi ya Awadh.
Umenena, niliandika heading yangu hivyo, mods wakabadilisha...Utamfukuza mtu baada ya mtu huyo kutekeleza maagizo yako?
Nakubaliana lakini turudi kwenye uhalisia hivi kweli Mnyika aliyesema alipigwa mpaka akalia Mama weee mnaniuwa ndio yule anatoka kwenye media kama katoka harusini, ndio kapigwa mpaka kapiga kelele.The issue is: We appreciate the role of police in the society, but when they go beyond their jurisdiction, then we have to querry and raise a loud, a very loude concern!
Umesikiliza maelezo ya wahanga? Unafikiri tukivibaliki vitendo vya namna hii tutatengeneza Taifa la namna gani siku za usoni.Polisi siyo hospitali kusema utapewa uji, Polisi siyo sekondari kuwa utapewa madaftari. You mess up with theirs orders lazima uchezee kichapo
Umesikiliza maelezo ya wahanga? Unafikiri tukivibaliki vitendo vya namna hii tutatengeneza Taifa la namna gani siku za usoni.Polisi siyo hospitali kusema utapewa uji, Polisi siyo sekondari kuwa utapewa madaftari. You mess up with theirs orders lazima uchezee kichapo
Huyu alikua anatekeleza maagizo ya ccm nani alitumwaRais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking!
Pia soma: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kwanini bado yuko ofisini mpaka sasa?
View attachment 3071388