Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Watu wote hawatakubali kuhama kwa hiyari lazima nguvu itumike kwa kiasi chake..sisemi wasihamishwe.
..napendekeza waelimishwe na kushawishiwa kuhama.
..naona kama serikali imekurupuka na ndio maana kuna mzozo.