Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni sawa na viongozi wa dini ya Kikristo wamesababisha Hadi dini idharaulike kwa kuwapandisha waouvu madhabauni wamdhihaki Mungu sababu wanahongwa,wanaacha kukemea udhalimu na uovu sawa na wenzao walivofanya Karne na Karne wanaenda kuwa kuni za motoni.Ndio maana mi nashangaa kuna waisilamu kibao hapa tz wameshindwa hata kumuua jiwe kwa albadir kwa damu,uchungu na ugum wa maisha aliosababisha!!!!ndo mana huwa napigwa ban!!!!
Hana uwezo huo,alisomesha watu namba akidhani anawakomoa kumbe anajikomoa kwa kushuka kwa makusanyo.Option ya kuongeza mishahara watumishi ni mwiba mchungu kwa serikali,maana ni pesa nyingi ingetumika,kupunguza PAYE haitaigharimu serikali compared to PAYE,hapa Mh. anaendelea kubana matumizi huku ile nyongeza tuijuayo na tulioizoea ikiendelea kua ndoto...
Hii mijitu inalala sebuleni mwa shemeji zao, usiku wanaona tu dada zao wanavyokwenda chooni baada ya kupigwa bao na ma-shem zao, haijui maisha, eti mishahara imepanda, pumb***Shemeji yako ndio alivyokudanganya. Watu mnaokaa kwa dada zenu hamli hadi dada zenu wanyanduliwe mnakuwa mafala sana.
#ACHA KUTUMIA MAKALIO KUFANYA KAZI YA KICHWA.
WAsifiaji ni wale waliofeli form four wamekusanywa na Gwajima na genge laki la WAPWA kusifia kila kituInaelekea haufahamu ulichokitarajia kiwe hoja yako ya msingi.PAYE ya 9% ni kwa KCC na ilianza kutumika enzi za JK.Kuisifia serikali hii ni kazi ngumu sana, na kwa bahati mbaya wasifiaji hawana data au wanasahau vitu kirahisi sana.
Hiyo statement si ya kweli ukicheki salary slip. Utamwambia usipotoshe umma hakuna aliyeongezwa1 nina hakika wewe sio mtumishi wa umma hivyo hauna unacho kifahamu
2 hakuna mtimishi wa umma aliepongeza kwa " dhati " hicho ulicho kiongea kwasababu watumishi wa wanahitaji nyongeza ya mshahara na si pungozo la kodi
3 je unajua nikiasi gani kimeongezeka katika mishahara ya wafanyakazi?
wakati mwengine ni bora kukaa kimya kuliko kuongea vitu usivyovielewa