Mkuu nina uhakika na niachoongea.
Unless unamaanisha kuwa unajenga dam halafu wewe unaenda zako kusiko julikana na unakula bata raha mustarehe bila kufanya periodical maintainance.
Edgar Hoover Dam, ambalolilijengwa miaka zaidi ya 85 iliyopita , bado linatumika leo.
Na hili dam la Edgar Hoover linalingana kabisa na tnalolijenga leo , bwawa la Julius Nyerere Hydroelectric Power Project(JNHPP), lenyewe lina installed capacity ya 2080 MW, wakati la kwetu litakuwa 2115MW.
Tofauti kubwa hapo niwatu wanaoliendesha na kutunza mabwawa hayo.
Kama tutakuwa na watu kama wa Mtera na Kidatu, basi hata hilo la kwetu la JNHPP halitadumu.
Wenzetu Edgar Hoover limedumu kwa miaka 85 sasa.
Matatizo ya Mtera na Kidatu siyo ya miradi yenyewe bali ya kisiasa.
Watu wanalima hadi kingo za mito na mchnga/tope zinaenda kujaza bwawa.
Utamlaumu nani.
Bila maintainance hata itambo ya gesi ukaiwasha halafu wewe ukaenda kulala, inaknock au kuunga baada ya mwezi tu.