Hakuna namnaKaramagi ,kagera
kimbisa,dodoma
mtemvu,dar
gachuma ,mwanza
Business as usualKaramagi ,kagera
kimbisa,dodoma
mtemvu,dar
gachuma ,mwanza
hahahahaBusiness as usual
This man must be over 80 yrs.Karamagi ,kagera
kimbisa,dodoma
mtemvu,dar
gachuma ,mwanza
Kama wenye akili wanaendeshwa na wenye akili ya kawaida basi kuna kitu kipo kwa hao wenye akili aisee...Hii nchi inaendeshwa na watu wenye akili za kawaida sana.
hahaha,wastaafu wamegoma kustaafuThis man must be over 80 yrs.
hahaha,wastaafu wamegoma kustaafuThis man must be over 80 yrs.
Mapacha wa 2015 bado NchimbiKaramagi ,kagera
kimbisa,dodoma
mtemvu,dar
gachuma ,mwanza
Hapana, ni rika moja na akina Karamagi, Rostam na Kinana. Wa over 80 ni kama Mzee Makamba, baba mzazi wa January.This man must be over 80 yrs.
Majangili yote yamerudiKaramagi ,kagera
kimbisa,dodoma
mtemvu,dar
gachuma ,mwanza
Haitawezekana tena,bali kifo cha CCM pekee ndio kitaleta suluhisho!Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka...