Awamu ya nne viongozi wa CCM wanarudi kazi ya ufisadi iendelee

Awamu ya nne viongozi wa CCM wanarudi kazi ya ufisadi iendelee

hahaha,wastaafu wamegoma kustaafu
Kweli wamegoma.

Samia akisoma darasa la saba, Wasira alikuwa naibu waziri wa kilimo. Juzi nimemuona kwenye picha ya vikao vya kamati kuu ya chama chao nikabaki nawaza huyu mzee anapumzika lini?

Anaweza kuwa na umri sawa na aliyekuwa mume wa malkia Elizabeti 😆😆
 
Hii nchi inaendeshwa na watu wenye akili za kawaida sana.
Nani mwenye akili za kawaida anaweza kuwa tajiri? Ukiona mtu ni tajiri jua ana akili Sana. Wewe ambaye huna hela ndo huna akili
 
Nani mwenye akili za kawaida anaweza kuwa tajiri? Ukiona mtu ni tajiri jua ana akili Sana. Wewe ambaye huna hela ndo huna akili
Maana sisi wananchi ni mazuzu
Ndomana wanatufanya wanavyotaka
Wanamla samaki wanamgeuza wanavyotaka

Ova
 
Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka.
Ukijua jinsi alivyopatikana Mama utajua ni kwanini wanarudi
 
Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka.

Kwa mfano uchaguzi wa Karamagi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera ndio umenimaliza nguvu.

Hakika wahuni wamerudi 2025 sijui nguvu gani kama sio umma itaweza kuwarejesha wanamapinduzi kushika dola.
Hata LOWASSA wangemrudisha tuanze Upya
 
Wacheni unafiki. Kwani kuna wakati ufisadi ndani ya ccm uliisha? Trilioni 1.5 zilizopigwa mpaka CAG akatimliwa ilikuwa awamu gani? Au kwa kuwa zilikuwa zinapigwa watu wamefungwa midomo na kuimbishwa mapambio ya kijinga ya kuunga mkono juhudi, ndo mnajitoa ufahamu kuwa wapigaji wamerudi kwani waliwahi kuondoka? Au huwa mnafurahia mpigaji mkuu akiwa mwenye nyumba, lakini watoto na wapangaji wakipiga inakuwa nongwa? Mama piga kazi ccm ni ileile na itabaki ileile ikiwa ina wenyewe.
 
Nani mwenye akili za kawaida anaweza kuwa tajiri? Ukiona mtu ni tajiri jua ana akili Sana. Wewe ambaye huna hela ndo huna akili
Mmmmmh.. kwenu akili
ndio chanzo Cha pesa?

Afu utofautishe akili ya pesa na akili ya uongozi!

Mtu unaweza ukawa na pesa kumbe za kuachiwa na baba Ako.

Na viongozi wetu wengi akili zao ni za UCHAWA tu.
 
Kama Ni hivyo Leo hii Mama alitaka awasake waliopiga 1.5T CCM Makinikia mtaficha wapi uso wenu?

Huo ujinga muwe mnawaambia mburula wa Mtaani na hapo bado Pesa za miradi,plea bargain,mlisopora wafanyabiashara ,madini nk..

Kuna awamu watu walikwiba Pesa Kama awamu ya 5?

Ni Mara 100 awamu ya 4 maisha ya kitaa yalikuwa na nafuu Sana so Kama hao waliwezesha ule unafuu naomba warudi haraka Sana..

Maana fisadi hupelekwa Mahakamani ila Kama hukumpeleka hizo Ni siasa za majitaka ili uchomeke wapigaji wako.
 
Back
Top Bottom