Awamu ya sita kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya mtandao

Awamu ya sita kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya mtandao

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu imejipanga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya mtandao barani Afrika, Serikali imeanza kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA). Dira ya serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kinara katika uchumi wa kidijitali, na inachukua hatua zinazohitajika ili hilo liwe kweli.

Kukua kwa biashara kutasaidia vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa kutumia fursa hiyo kujiajiri, kukuza kipato chao na kukuza pato la nchi na uchumi wa nchi.

YvKktkpTURBXy8yYjYzYWUwYTFlNjExYjJkOTJhNWM1MmM1YTY4YTllMi5qcGeSlQMALc0DIM0BwpMFzQMWzQGu
 
Hiyo biashara sijui itafanyikaje kama ata bando la mia tano halitoshi kuperuzi jf kwa siku
 
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu imejipanga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya mtandao barani Afrika, Serikali imeanza kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA). Dira ya serikali ni kuifanya Tanzania kuwa kinara katika uchumi wa kidijitali, na inachukua hatua zinazohitajika ili hilo liwe kweli.

Kukua kwa biashara kutasaidia vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa kutumia fursa hiyo kujiajiri, kukuza kipato chao na kukuza pato la nchi na uchumi wa nchi.

YvKktkpTURBXy8yYjYzYWUwYTFlNjExYjJkOTJhNWM1MmM1YTY4YTllMi5qcGeSlQMALc0DIM0BwpMFzQMWzQGu
Kwa bei hizihizi za Bando wanazotuuzia kwa bei kubwa na zinaisha kabla ya muda.Kiurushi cha wiki kinaisha ndani ya saa moja au mbili!
Na uyo Waziri wa kuleta hayo mageuzi ni huyuhuyu Nape aliyesema Bando ni hisani ya mtoa huduma!
Nchi ngumu sana hii [emoji1787][emoji1787]
 
Ili waliweze hilo 1. Utanganyika na uzanzibar uishe hasa linapotajwa swala ajira serikalini 2. Utapeli wa biashara za mtadaoni uishe mfano tuma kwenye namba hii, platform za kalynda, fake online marketing website, kubambikizia watu kodi za ajabu ajabu etc, kubadilika badilika kwa sheria za kodi . 3.sekta binafsi zipewe kipaumbele, 4. Vigogo wa serikalini wasilazimishe wafanyabiashara kuwa wanasiasa etc

Zingene mtaongezea Kama wadau wa jamiiforum
 
Back
Top Bottom