Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Serikali awamu ya sita mmeeleweka vyema. Mko kwa maslahi yenu zaidi. Mnajiwakilisha wenyewe:



Ninyi ni serikali ya walamba asali.

Kwa kututelekeza na hili la mafuta kama ya lile la madhara ya Corona, wala msijisumbue kutafuta mitano mingine.

Mlikotufikisha tambueni kuwa mtavuna mnayopanda.

Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Hawawezi kutoa kodi…pesa za safari watakosa….kubana matumizi ni ushamba wa JPM…..wacha wajanja wazile pesa zenu mpaka akili ziwakae sawa…cha kuwafanya hamna

Sasa muelewe chakufanya kwenye Sanduku la kura zile kofia na vitenge vya kijani pamoja na tarumbeta za TOT , singeli na Diamond zisiwapofue…these people are TIRED alijisemea Msigwa…




#kataawahuni
#UmojaParty
 
Magufuli pmj na makorona yale mafuta hayakupanda bei
Tukubali tu watu wanalamba asali

Magufuli makorona hakuyatambua. Dunia iliyatambua bei za mafuta zilishuka hadi nusu ya zilizopo sasa.

Hakutambua madhara ya Corona kwa watu hata kuhusiana na walio fanya biashara na nchi ambako mipaka ilifungwa. Ikawa kodi tu hata kama hakuna biashara.

Huyu tumetelekezewa mafuta kama yule wa Corona tu.

Hizi ni Serikali zisizo na utu.
 
Serikali awamu ya sita mmeeleweka vyema. Mko kwa maslahi yenu zaidi. Mnajiwakilisha wenyewe:

View attachment 2214958

Ninyi ni serikali ya walamba asali.

Kwa kututelekeza na hili la mafuta kama ya lile la madhara ya Corona, wala msijisumbue kutafuta mitano mingine.

Mlikotufikisha tambueni kuwa mtavuna mnayopanda.

Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Yaani mzee Samia mborongaji badala ya kutupa hope on what she can do to solve these problems instead tunaambiwa na bado as if kuna kosa tumefanya and we are paying for the mistakes.[emoji19][emoji706].
 
Magufuli makorona hakuyatambua. Dunia iliyatambua bei za mafuta zilishuka hadi nusu ya zilizopo sasa.

Hakutambua madhara ya Corona kwa watu hata kuhusiana na walio fanya biashara na nchi ambako mipaka ilifungwa. Ikawa kodi tu hata kama hakuna biashara.

Huyu tumetelekezewa mafuta kama yule wa Corona tu.

Hizi ni Serikali zisizo na utu.
Serikali za mafirauni
 
# kataa wahuni
# Umoja Path
[emoji119] [emoji119] [emoji119]
Hawawezi kutoa kodi…pesa za safari watakosa….kubana matumizi ni ushamba wa JPM…..wacha wajanja wazile pesa zenu mpaka akili ziwakae sawa…cha kuwafanya hamna

Sasa muelewe chakufanya kwenye Sanduku la kura zile kofia na vitenge vya kijani pamoja na tarumbeta za TOT , singeli na Diamond zisiwapofue…these people are TIRED alijisemea Msigwa…




#kataawahuni
#UmojaParty
 
[emoji30]
20220507_093324.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli makorona hakuyatambua. Dunia iliyatambua bei za mafuta zilishuka hadi nusu ya zilizopo sasa.

Hakutambua madhara ya Corona kwa watu hata kuhusiana na walio fanya biashara na nchi ambako mipaka ilifungwa. Ikawa kodi tu hata kama hakuna biashara.

Huyu tumetelekezewa mafuta kama yule wa Corona tu.

Hizi ni Serikali zisizo na utu.


Mbona kipindi cha Corona machinga wengi walijenga nyumba..
 
Mama Kama unampendaje Sana makambà gawanya wizara ya nishati uibadilishe iitwe wizara ya umeme mpe kalemani, wizara ya mafuta mpe makambà,kwa kumwachia yote haya makambà Yale Mateso ya awamu ya nne yamerudi tenaaaaaaaaaaaaaaa ,nchi hii Ni matesoooooooooo mnooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo kuishi Sasa hivi lakini hamna kingine Ni uswahiba tu unasumbua ,ona mikorona yoooooooooooooote na mtikisiko wake magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aliharmonize vizuri mnooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,Leo vipi Kuna conspiracy ya kutuadhibu was hali za chini kupitia mafuta etiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Sasa Tanzania ni dona kantri. Yule mwendawazimu alisema nchi hii ni tajiri.
 
Back
Top Bottom