Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

Zanzibar sio duniani mbona bei ya mafuta IPO Chini Sana kulinganisha na Bara?
Zanzibar bado inatumia akiba yake ya mafuta yaliagizwa kabla ya kadhia ya mafuta. Kumbuka watumiaji wa mafuta Zanzibar ni wachache sana kutokana na population yake kuwa ndogo
 
Inategemea unaangalia kwa angle ipi.
Hakuna angle hapo wala nini. Zenji walihitaji kijiti nyumbani, tokea kitue huko March 2021 wakuachie vipi kulamba asali?
 
Mbona unatulazimisha?
Unalazimishwa? Mzigo mzito siyo kuwa hukabidhiwa ninyi?

IMG_20220507_124955_574.jpg


Mtamenyeka sana wajomba wenzenu tukilamba asali.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Serikali awamu ya sita mmeeleweka vyema. Mko kwa maslahi yenu zaidi. Mnajiwakilisha wenyewe:

View attachment 2214958

Ninyi ni serikali ya walamba asali.

Kwa kututelekeza na hili la mafuta kama ya lile la madhara ya Corona, wala msijisumbue kutafuta mitano mingine.

Mlikotufikisha tambueni kuwa mtavuna mnayopanda.

Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Walamba asali ndio wanaohesabu kura na kuzilinda na kutangaza mshindi. Utawatisha nini wewe. Jifarijini na kauhuru wa maoni humu jf.
 
Back
Top Bottom