inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ili uchumi uporomoke Hadi 0%Wapumbavu wasiokuelewa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uchumi uporomoke Hadi 0%Wapumbavu wasiokuelewa hapa
Msigwa huyuhuyu aliyeko mbioni kuunga mkono juhudi au ni kuna mwingine? Achana na kitu inaitwa njaa, leo ukimuuliza anaweza kana kauli yake.these people are TIRED alijisemea Msigwa…
Mwendawazimu hayupo kwasasa, hebu tuangalie namna ambayo huyu kigagula anafanya kazi.Sasa Tanzania ni dona kantri. Yule mwendawazimu alisema nchi hii ni tajiri.
Naona kwasasa umeinuka hadi 100%Ili uchumi uporomoke Hadi 0%
Unadhani kujenga uchumi ni sawa na kupiga nyeto!!!...yule mtu wenu ana sehemu nzuri motoniNaona kwasasa umeinuka hadi 100%
Akili ndogo bwana, ukimbiwa uthibitishe habari za uwepo wa huo moto huwezi, zaidi ya kuja na story za kukaririshwa makanisani.Unadhani kujenga uchumi ni sawa na kupiga nyeto!!!...yule mtu wenu ana sehemu nzuri motoni
Mbona kipindi cha Corona machinga wengi walijenga nyumba..
Akili ndogo bwana, ukimbiwa uthibitishe habari za uwepo wa huo moto huwezi, zaidi ya kuja na story za kukaririshwa makanisani.
Huyu kigagula wenu ndio anaejenga uchumi sio? Au ndo na yeye anipiga nyeto huko ikulu??
Kabisa, hamia hata huko.Pa kuhamia ni Zenji mkuu. Mbona kina Zawadini 70km away, wao wanalamba asali?
View attachment 2215130
Bei ya mafuta ni moja duniani kote. Kwahiyo kumlaumu rais ni uchovu wa kufikiriMwendawazimu hayupo kwasasa, hebu tuangalie namna ambayo huyu kigagula anafanya kazi.
Binafsi naona ni bora ya mwendawazimu kuliko huyu kigagula.
Kabisa, hamia hata huko.
Zanzibar sio duniani mbona bei ya mafuta IPO Chini Sana kulinganisha na Bara?Bei ya mafuta ni moja duniani kote. Kwahiyo kumlaumu rais ni uchovu wa kufikiri
Zanzibar sio duniani mbona bei ya mafuta IPO Chini Sana kulinganisha na Bara?
Enzi zetu zimeshapita, tunasubiri 2030 zamu yetu kucheka.Wewe bado umekomaa Chato? Kucheka kupokezana. Huko zilipendwa.
Enzi zetu zimeshapita, tunasubiri 2030 zamu yetu kucheka.
Bei ya mafuta ni moja duniani kote. Kwahiyo kumlaumu rais ni uchovu wa kufikiri