Magufuli pmj na makorona yale mafuta hayakupanda bei
Tukubali tu watu wanalamba asali
Yaani mzee Samia mborongaji badala ya kutupa hope on what she can do to solve these problems instead tunaambiwa na bado as if kuna kosa tumefanya and we are paying for the mistakes.[emoji19][emoji706].Serikali awamu ya sita mmeeleweka vyema. Mko kwa maslahi yenu zaidi. Mnajiwakilisha wenyewe:
View attachment 2214958
Ninyi ni serikali ya walamba asali.
Kwa kututelekeza na hili la mafuta kama ya lile la madhara ya Corona, wala msijisumbue kutafuta mitano mingine.
Mlikotufikisha tambueni kuwa mtavuna mnayopanda.
Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Serikali za mafirauniMagufuli makorona hakuyatambua. Dunia iliyatambua bei za mafuta zilishuka hadi nusu ya zilizopo sasa.
Hakutambua madhara ya Corona kwa watu hata kuhusiana na walio fanya biashara na nchi ambako mipaka ilifungwa. Ikawa kodi tu hata kama hakuna biashara.
Huyu tumetelekezewa mafuta kama yule wa Corona tu.
Hizi ni Serikali zisizo na utu.
Hawawezi kutoa kodi…pesa za safari watakosa….kubana matumizi ni ushamba wa JPM…..wacha wajanja wazile pesa zenu mpaka akili ziwakae sawa…cha kuwafanya hamna
Sasa muelewe chakufanya kwenye Sanduku la kura zile kofia na vitenge vya kijani pamoja na tarumbeta za TOT , singeli na Diamond zisiwapofue…these people are TIRED alijisemea Msigwa…
#kataawahuni
#UmojaParty
Magufuli makorona hakuyatambua. Dunia iliyatambua bei za mafuta zilishuka hadi nusu ya zilizopo sasa.
Hakutambua madhara ya Corona kwa watu hata kuhusiana na walio fanya biashara na nchi ambako mipaka ilifungwa. Ikawa kodi tu hata kama hakuna biashara.
Huyu tumetelekezewa mafuta kama yule wa Corona tu.
Hizi ni Serikali zisizo na utu.
Namchukia huyu mzee na mwanayee!!
Wapumbavu wasiokuelewa hapaTanganyika Ilimuhitaji zaid JPM kuliko watu wanavyodhani.