Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

Zanzibar sio duniani mbona bei ya mafuta IPO Chini Sana kulinganisha na Bara?
Zanzibar bado inatumia akiba yake ya mafuta yaliagizwa kabla ya kadhia ya mafuta. Kumbuka watumiaji wa mafuta Zanzibar ni wachache sana kutokana na population yake kuwa ndogo
 
Inategemea unaangalia kwa angle ipi.
Hakuna angle hapo wala nini. Zenji walihitaji kijiti nyumbani, tokea kitue huko March 2021 wakuachie vipi kulamba asali?
 
Hakuna angle hapo wala nini. Zenji walihitaji kijiti nyumbani, tokea kitue huko March 2021 wakuachie vipi kulamba asali?
Sisi tunamtaka Mwinyi: si ni Mtanzania?
 
Mbona unatulazimisha?
Unalazimishwa? Mzigo mzito siyo kuwa hukabidhiwa ninyi?



Mtamenyeka sana wajomba wenzenu tukilamba asali.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Walamba asali ndio wanaohesabu kura na kuzilinda na kutangaza mshindi. Utawatisha nini wewe. Jifarijini na kauhuru wa maoni humu jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…