Awamu ya Tano nchi ilijengwa zaidi upande mmoja

Awamu ya Tano nchi ilijengwa zaidi upande mmoja

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
 
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
Wew ni kichaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
Lazima tutambue "vitovu" katika maeneo tunayotoka. Kwingine kote ni kwapani na matakoni tu hakuna kujani. "chato kitovu cha utalii" mitano tena kalamaganda prof
 
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
Hivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje
 
Lazima tutambue "vitovu" katika maeneo tunayotoka. Kwingine kote ni kwapani na matakoni tu hakuna kujani. "chato kitovu cha utalii" mitano tena kalamaganda prof
Yuko mtu anasifia awamu ya tano eti kwakuwa amehamishia dodoma makao makuu ya Serikali. Ukimuuliza akwambie faida iliyopatikana kwa kwenda dodoma hawezi ku kwambia zaidi ya kusema katimiza ndoto ya Mwl.
 
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
Dikteta alikuwa mbaguzi sn
 
Hivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje
Haya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
 
Yuko mtu anasifia awamu ya tano eti kwakuwa amehamishia dodoma makao makuu ya Serikali. Ukimuuliza akwambie faida iliyopatikana kwa kwenda dodoma hawezi ku kwambia zaidi ya kusema katimiza ndoto ya Mwl.
Unaakili ndogo Sana na hazikusaidii zaidi ya kwendea chooni!!
 
Unaakili ndogo Sana na hazikusaidii zaidi ya kwendea chooni!!
Serikali kuhamishiwa makao makuu ya ombaomba nchini ndiyo akili, Mkoa ambao unafahamika kwa kuwa N matetemeko na mavumbi. Maendeleo ya technolojia duniani yamelifuta wazo la Nyerere na CCM la mwaka 1970 kuwa dodoma ni katikati ya nchi. Siku hizi settelites zimeifa dunia Kijiji.

Kuhamia dodoma kumepunguzaje deni la taifa, tatizo la ajira, mikopo kwa wanafunzi, par capita income, milo 3 kwa siku kwa watu wetu.?
 
Haya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
Kwa Heshima yako embu nijaribu kutaja japo Kwa kidogo

Dar" barabara nyiiingi hata hazina idadi, Stendi ya Kimataifa na uwongo wa viwanda vipya Dar na pwani bila kusahau hospitali mpya za wilaya Kinondoni na Ilala kama sikose, vituo Vya Afya Kwa wingi SGR in

Morogoro, Soko la kimataifa, viwanda vingi vipya barabara la lami kilombelo inayopita lupilo kwenda kuunganisha mkoa wa songea ikipitia malinyi ingawa bado haijakamilika bila kusahau bwawa la umeme la nyerere

Dodoma, kila mtu anafahamu, kuna Miradi mingi na gharama kubwa kuliko eneo lolote like,i
Serikali kuhamishiwa makao makuu ya ombaomba nchini ndiyo akili, Mkoa ambao unafahamika kwa kuwa N matetemeko na mavumbi. Maendeleo ya technolojia duniani yamelifuta wazo la Nyerere na CCM la mwaka 1970 kuwa dodoma ni katikati ya nchi. Siku hizi settelites zimeifa dunia Kijiji.

Kuhamia dodoma kumepunguzaje deni la taifa, tatizo la ajira, mikopo kwa wanafunzi, par capita income, milo 3 kwa siku kwa watu wetu.?
Bado naendelea kukazia msimamo wangu kuwa wewe bado hujaanza kuitendea haki elimu yako
 
Serikali za majimbo ndio zitamaliza haya mambo. Siku akija Rais mwingine kutoka bara atamuiga JPM tu kujenga kwake zaidi na hakutakuwa na wa kumzuia.
 
Serikali kuhamishiwa makao makuu ya ombaomba nchini ndiyo akili, Mkoa ambao unafahamika kwa kuwa N matetemeko na mavumbi. Maendeleo ya technolojia duniani yamelifuta wazo la Nyerere na CCM la mwaka 1970 kuwa dodoma ni katikati ya nchi. Siku hizi settelites zimeifa dunia Kijiji.

Kuhamia dodoma kumepunguzaje deni la taifa, tatizo la ajira, mikopo kwa wanafunzi, par capita income, milo 3 kwa siku kwa watu wetu.?

..naunga mkono hoja yako kwa 99%.

..1% ninayopinga ni hapo ulipoandika kuhusu ombaomba.

..fedha zilizotumika kujenga maofisi ya serikali Dodoma zingeweza kuwekezwa ktk miradi ya kilimo cha umwagiliaji, viwanda, etc ni zikainua maisha wa wananchi wengi walioko vijijini.

..hebu tujiulize, kipi ni muhimu: kujenga ikulu ya kifahari Dodoma, au kujenga mradi wa kilimo cha umwagiliaji eneo lenye uhitaji?
 
Ninaingalia Tanzania na na idadi ya Mikoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Vijiji na Vitongoji vyake na idadi ya miradi ya maendeleo inayoguza moja kwa moja mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji kama vile maji ya kunywa, barabara, madaraja, shule, hospitali, umeme, ujenzi wa huduma za benk. viwanja vya ndege, vyombo vya usafiri, na kutembelewa na viongozi wakuu wa kitaifa kutatua kero zao utaona kuwa kuna baadhi ya kanda, mikoa, wilaya, tarafa, kata na vijiji vya upande mmoja wa nchi vilinufaika zaidi kuliko kwingine.

Viongozi wetu tengenezeni dira ya vipaumbele vya taifa kutokana na uhitaji na rasilimali zilizopo. Hii itaepusha kutoa huduma kwa kufuata aneo alikotoka kiongozi kwanza kwa njia ya upendeleo. Mwisho wa siku taifa letu litaathiriwa na siasa za ukabila, ukanda, umikoa, uwilaya, utarafa, ukata na uvijiji huko tuendako. Mambo hayo aliyaepuka sana Mwl Nyerere na Mzee Karume wakati wa Urais wao. TUsikubali kamwe mambo haya yakolee kwenye taifa letu.;
Yalisha semwa humu muda kidogo.
 
Hivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje
Tusipokuwawaangalifu, nchi hii tutaipasua wenyewe.
Mwalimu Nyerere alikuwa anaogopa upendeleo kama ukoma.
 
Ndiyo maana wakawepo wabunge na madiwani ktk maeneo mbalimbali ya nchi ili kuisaidia serikali kutekeleza ilani yake
 
Back
Top Bottom