Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana wakawepo wabunge na madiwani ktk maeneo mbalimbali ya nchi ili kuisaidia serikali kutekeleza ilani yakel
Ndiyo majaliwa yao, lakini jitihada za Mwl Nyerere za kupambana na ukabila nchini zinaanza kutiwa Maji. Kama Rais anaweza kuigeuza Tarafa ya alikozaliwa kuwa Mkoa huoni kama mbio za kupiga kura kwa mgombea wa kabila lako zinapamba moto?Wazee wa kulalamika kila jambo.
Rufiji Hydro power Pwani. Flyovers Dsm hapo vipi?Haya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
Hiyo hydropower sio kwaajili ya wakazi wa rufiji ni kwa taifa. Lakini iko miradi kwaajili ya kutatua changamoto za watu wa pale na kule. Hii ndiyo miradi tunayoizungumzia hapa.Jk
Rufiji Hydro power Pwani. Flyovers Dsm hapo vipi?
Uwanja wa ndege chato unaanza kuoza.Lazima tutambue "vitovu" katika maeneo tunayotoka. Kwingine kote ni kwapani na matakoni tu hakuna kujani. "chato kitovu cha utalii" mitano tena kalamaganda prof
Kilimanjaro hasa HAIHivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje
Hakuna faida yoyote Bora angehamishia Moshi yawe makao makuu ya nchi maana Kuna mlima mrefu kuliko yote Africa na watu wake wamebarikiwa sanaYuko mtu anasifia awamu ya tano eti kwakuwa amehamishia dodoma makao makuu ya Serikali. Ukimuuliza akwambie faida iliyopatikana kwa kwenda dodoma hawezi ku kwambia zaidi ya kusema katimiza ndoto ya Mwl.
Kila kitu kapeleka chato, kaifanya chato kuwa zaidi ya Dubai.Dikteta alikuwa mbaguzi sn
Hakuna mkoa wowote ameenda zaidi ya Chato, alikuwa mbaguzi sanaHaya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
Ndiyo maana MUNGU alishughulika nayeKila kitu kapeleka chato, kaifanya chato kuwa zaidi ya Dubai.
Mpaka makao makuu alihamishia chato
Hivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje
Kaleta tabu Sana Bora angehamishia makao makuu yawe Moshi Kilimanjaro Kuna mlima mrefu kuliko yote AfricaSerikali kuhamishiwa makao makuu ya ombaomba nchini ndiyo akili, Mkoa ambao unafahamika kwa kuwa N matetemeko na mavumbi. Maendeleo ya technolojia duniani yamelifuta wazo la Nyerere na CCM la mwaka 1970 kuwa dodoma ni katikati ya nchi. Siku hizi settelites zimeifa dunia Kijiji.
Kuhamia dodoma kumepunguzaje deni la taifa, tatizo la ajira, mikopo kwa wanafunzi, par capita income, milo 3 kwa siku kwa watu wetu.?
Miradi itatufaa Nini sisi hatutaki maendeleo ya vitu Bali watu na watu walioendelea Ni wa Kilimanjaro huko ndiko kulipaswa kuwa makao makuu ya nchi ikizingatiwa Kuna mlima mrefu kuliko yote...naunga mkono hoja yako kwa 99%.
..1% ninayopinga ni hapo ulipoandika kuhusu ombaomba.
..fedha zilizotumika kujenga maofisi ya serikali Dodoma zingeweza kuwekezwa ktk miradi ya kilimo cha umwagiliaji, viwanda, etc ni zikainua maisha wa wananchi wengi walioko vijijini.
..hebu tujiulize, kipi ni muhimu: kujenga ikulu ya kifahari Dodoma, au kujenga mradi wa kilimo cha umwagiliaji eneo lenye uhitaji?
Hakuna lolote na kibaya zaidi wakatuondolea Rais wetu wa Mbeya kibabe sanaMbeya walipata nn?
Alitakiwa aseme wabunge wa upinzani wachaguliwe kwakuwa nae hakuwa CCM bali mpinzani, mbona Kikwete aliwaombea kura wapinzani yeye roho mbaya tu na udikteta wake ndio maana amekufa Sasa.Wabunge ndio nini? Alisema maendeleo hayana chama lakini alikuwa akisema ukichagua mpinzani hatapeleka miradi ya maendeleo kwenye jimbo hilo, na mbunge lazima aombe kwa unyenyekevu
Kabisa katuachia nchi Sasa sisi Cuf tuko ikulu na kamwe hatutokufa maana Ni wema kumzidi Yesu Kristo.Ndiyo maana MUNGU alishughulika naye
Jamaa alikuwa mbaya Sana lakini kwao kila Kijiji lami, airport, maflaiova masgr na makila kitu kajaza chatoKijijini / Wilaya yetu hakuna International Airport,Hakuna Hospital ya rufaa,hakuna Hotel ya kitalii .........