Awamu ya Tano nchi ilijengwa zaidi upande mmoja

Awamu ya Tano nchi ilijengwa zaidi upande mmoja

Wabunge ndio nini? Alisema maendeleo hayana chama lakini alikuwa akisema ukichagua mpinzani hatapeleka miradi ya maendeleo kwenye jimbo hilo, na mbunge lazima aombe kwa unyenyekevu
Ndiyo maana wakawepo wabunge na madiwani ktk maeneo mbalimbali ya nchi ili kuisaidia serikali kutekeleza ilani yakel
 
Wazee wa kulalamika kila jambo.
Ndiyo majaliwa yao, lakini jitihada za Mwl Nyerere za kupambana na ukabila nchini zinaanza kutiwa Maji. Kama Rais anaweza kuigeuza Tarafa ya alikozaliwa kuwa Mkoa huoni kama mbio za kupiga kura kwa mgombea wa kabila lako zinapamba moto?
 
Jk
Haya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
Rufiji Hydro power Pwani. Flyovers Dsm hapo vipi?
 
Jk

Rufiji Hydro power Pwani. Flyovers Dsm hapo vipi?
Hiyo hydropower sio kwaajili ya wakazi wa rufiji ni kwa taifa. Lakini iko miradi kwaajili ya kutatua changamoto za watu wa pale na kule. Hii ndiyo miradi tunayoizungumzia hapa.
 
Wazee wa kulalamika kila jambo.
Vijiji vilivyopatiwa umeme wa REA awamu ya tato vingi viko Kanda gani na vilivyobakia kupata umeme vingi viko Kanda ipi? Habu tufanye tathmini hapo
 
Lazima tutambue "vitovu" katika maeneo tunayotoka. Kwingine kote ni kwapani na matakoni tu hakuna kujani. "chato kitovu cha utalii" mitano tena kalamaganda prof
Uwanja wa ndege chato unaanza kuoza.
 
Yuko mtu anasifia awamu ya tano eti kwakuwa amehamishia dodoma makao makuu ya Serikali. Ukimuuliza akwambie faida iliyopatikana kwa kwenda dodoma hawezi ku kwambia zaidi ya kusema katimiza ndoto ya Mwl.
Hakuna faida yoyote Bora angehamishia Moshi yawe makao makuu ya nchi maana Kuna mlima mrefu kuliko yote Africa na watu wake wamebarikiwa sana
 
Haya Anza kwa kuitaja Mikoa yote ya Tanzania halafu useme kila Mkoa ulitembelewa na Rais mara ngapi ndani ya miaka 6, Kisha taja idadi ya changamoto za kila Mkoa zilizotatuliwa katika kipindi chake. Iko mikoa ambayo imepata zahanati, hospital kubwa, barabara, madaraja, meli, reli, benk, uwanja WA ndege, Maji, mbuga ya wanyama, soko, stand, na kutembelewa mara nyingi zaidi kuliko mingine. Siunafahamu kuwa mzee alikuwa anatoa pesa za papo kwa papo pia wakati wa kutembelea, Sasa kama hajakwenda watapataje hela hizo
Hakuna mkoa wowote ameenda zaidi ya Chato, alikuwa mbaguzi sana
 
Hivi kuna Mkoa ambao hukupata project yoyote kipindi cha JPM? Utaje

Kijijini / Wilaya yetu hakuna International Airport,Hakuna Hospital ya rufaa,hakuna Hotel ya kitalii .........
 
Serikali kuhamishiwa makao makuu ya ombaomba nchini ndiyo akili, Mkoa ambao unafahamika kwa kuwa N matetemeko na mavumbi. Maendeleo ya technolojia duniani yamelifuta wazo la Nyerere na CCM la mwaka 1970 kuwa dodoma ni katikati ya nchi. Siku hizi settelites zimeifa dunia Kijiji.

Kuhamia dodoma kumepunguzaje deni la taifa, tatizo la ajira, mikopo kwa wanafunzi, par capita income, milo 3 kwa siku kwa watu wetu.?
Kaleta tabu Sana Bora angehamishia makao makuu yawe Moshi Kilimanjaro Kuna mlima mrefu kuliko yote Africa
 
..naunga mkono hoja yako kwa 99%.

..1% ninayopinga ni hapo ulipoandika kuhusu ombaomba.

..fedha zilizotumika kujenga maofisi ya serikali Dodoma zingeweza kuwekezwa ktk miradi ya kilimo cha umwagiliaji, viwanda, etc ni zikainua maisha wa wananchi wengi walioko vijijini.

..hebu tujiulize, kipi ni muhimu: kujenga ikulu ya kifahari Dodoma, au kujenga mradi wa kilimo cha umwagiliaji eneo lenye uhitaji?
Miradi itatufaa Nini sisi hatutaki maendeleo ya vitu Bali watu na watu walioendelea Ni wa Kilimanjaro huko ndiko kulipaswa kuwa makao makuu ya nchi ikizingatiwa Kuna mlima mrefu kuliko yote.
 
Wabunge ndio nini? Alisema maendeleo hayana chama lakini alikuwa akisema ukichagua mpinzani hatapeleka miradi ya maendeleo kwenye jimbo hilo, na mbunge lazima aombe kwa unyenyekevu
Alitakiwa aseme wabunge wa upinzani wachaguliwe kwakuwa nae hakuwa CCM bali mpinzani, mbona Kikwete aliwaombea kura wapinzani yeye roho mbaya tu na udikteta wake ndio maana amekufa Sasa.
 
Kijijini / Wilaya yetu hakuna International Airport,Hakuna Hospital ya rufaa,hakuna Hotel ya kitalii .........
Jamaa alikuwa mbaya Sana lakini kwao kila Kijiji lami, airport, maflaiova masgr na makila kitu kajaza chato
 
Back
Top Bottom