Awamu ya tano Tanesco hawakukarabati miundombinu ya umeme, sasa mmehitimisha ukarabati tusikie mgao tena

Awamu ya tano Tanesco hawakukarabati miundombinu ya umeme, sasa mmehitimisha ukarabati tusikie mgao tena

Mmnetangaza wenyewe kuwa mmehitimisha ukarabati wa miundo mbinu ili umeme upatikane vizuri. Tunataka tusisikie habari ya mgao na umeme kukatika katika hovyo imeisha kama enzi za awamu ya tano.

View attachment 2115389
Mkuu zingatia hapo wanaposema kuwa NI IMANI YETU HALI ITAENDELEA KUIMARIKA na sio HALI IMEIMARIKA. Wajinga ni sisi tuliwao
 
Back
Top Bottom