Awauzia wakazi wa Dar es salaam mishikaki ya nyama ya Mbwa kwa zaidi ya miaka 10. Adai wanaipenda, ni tamu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mzee mmoja ambaye jina lake linahifadhiswa, amekutwa akitengeneza mishkaki kwa kutumia nyama ya Mbwa na kusema biashara hiyo aliianza tangu mwaka 2010 akiwa katika stendi ya Ubungo na sasa alikuwa stendi ya mbezi (Kituo cha Mabasi Mbezi, Magufuli).



Chanzo : Channel Ten
 
Kwani tatizo la Nyama ya Mbwa ni nini? Maana huko Korea Kusini inauzwa kama nyama nyingine mabuchani!!


Tayari sokoni!!


Nyama ya Mbwa ikiwa kwenye "Shelves" za Supamaketi moja huko Korea Kusini


Nyama ya Mbwa tayari kwa kuliwa huko Korea ya Kusini.

Wale waigizaji wenu wa Korea ya Kusini mnaowapenda sana wengine wao wanakula kitu cha Mbweko!!
 
Ndyo maana hapa tabata kimanga wamepungua sana sikuhizi
 
Kuna uwezekano watu wengi sana wamekula popi bila kujua aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…