Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hi jamii ya kitanzania bado sana kama watu wenye elite class bado wanaimani na ushirikina kwa vitu ambavyo ni sayansi kama mpira sasa unategemea nini kwa wale walio vijijini akili zao zitakua je?Waziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde
"Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa mechi za Simba na Yanga kama Eng. Hersi anavyozurura hapa katika Kijiji cha Machadu katika mechi za Simba na Yanga"
Waziri hawezi kumdanganya Rais tena mbele ya hadhira kama hivyo.Kwamba hapo alikuwa anaongea serious ama Makolo GSM anaharibu ligi?
Sasa hapo kamuumbua nini sasa wakati ameleta utani tuWaziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde
"Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa mechi za Simba na Yanga kama Eng. Hersi anavyozurura hapa katika Kijiji cha Machadu katika mechi za Simba na Yanga"
Niliwahi kusoma andiko la Mshana Jr alikuwa anaelezea uchawi wa mgosi kwediboma , huko Tanga. Mshana jr alikuwa anasema vijiji vya Tanga vina balaa kwa uchawi.Waziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde
"Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa mechi za Simba na Yanga kama Eng. Hersi anavyozurura hapa katika Kijiji cha Machadu katika mechi za Simba na Yanga"
Kichaa kapata rungu sasa, Yanga watakukomaWaziri hawezi kumdanganya Rais tena mbele ya hadhira kama hivyo.
Mlipo Tupo!
Wote wanaloga hakuna wa kumnyooshea mwenzie kidole Hawa wanaloga washinde mechi za mpira wa miguu, wengine wanaloga ili waendelee kuwa wanasiasaWaziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde
"Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa mechi za Simba na Yanga kama Eng. Hersi anavyozurura hapa katika Kijiji cha Machadu katika mechi za Simba na Yanga"
Zote hizo ni sababu inategemea na mechi, sababu haiwezi kuwa moja kwa mechi zote, tukutane tarehe naneKwa hiyo ni Simba mnafungwa kwa uchawi, hujuma za marefa au hongo ya GSM?
Chagueni moja!
wenye macho na akili huwa tunaona kolo anavyopigwa huku pira kubwa llikiwa linapigwa na vijana wa Hersi,huyu fala atawaaminisha hayo kwa washirikina wenzie ila sio sisi watu wa mpiraWaziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde
"Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa mechi za Simba na Yanga kama Eng. Hersi anavyozurura hapa katika Kijiji cha Machadu katika mechi za Simba na Yanga"
Waziri wa serikali anaongelea uchawi mbele ya rais! Aiseee sasa sisi ambao hatuna shule wala expozha tutawaza nini😆Waziri hawezi kumdanganya Rais tena mbele ya hadhira kama hivyo.
Mlipo Tupo!