saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso kijana wa watu asiye na mbeleko anahangaika kwa usafiri wa bodaboda ili mradi afike ajionee mwenyewe changamoto za maji zinazowakabili wananchi.
Wengine watoto wa wakubwa wanatumia Helkopta kukagua vyanzo vya maji vilivyokauka kwa ukame na kusababisha mgao wa umeme na kukagua anuani za makazi.
Mungu awe nawe Jumaa Aweso katika kutekeleza majukumu yako japo sehemu kubwa mgao wa maji unaolaumiwa wewe ni kutokana na mwenzako kukata umeme na kusababisha mitambo ya maji ishindwe kufanya kazi. Lakini Mungu yuko nawe na watanzania tuko nawe
Wengine watoto wa wakubwa wanatumia Helkopta kukagua vyanzo vya maji vilivyokauka kwa ukame na kusababisha mgao wa umeme na kukagua anuani za makazi.
Mungu awe nawe Jumaa Aweso katika kutekeleza majukumu yako japo sehemu kubwa mgao wa maji unaolaumiwa wewe ni kutokana na mwenzako kukata umeme na kusababisha mitambo ya maji ishindwe kufanya kazi. Lakini Mungu yuko nawe na watanzania tuko nawe