Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Mitz ndivyo tulivyo.Ni rahisi kucheza na akili ya watanzania. Wanapima utendakazi wa mtu kwa kula kwa mama lishe, kupanda daladala, kula mahindi ya kuchoma barabarani, kunywa kahawa na raia. Yaani, watanzania tuna shida kweli