Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Waziri Juma Aweso amesema wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani. Aweso amesema watu wanasema mama anaupiga mwingi lakini yeye anasema mama ni Noma na anawatahadharisha vyama rafiki(Upinzani) wasije wakasema wameibiwa kura 2025 kwani watanzania hawatamuacha.
Amewataka wababa wakae kwa kutulia na wampe ushirikiano mama.
Amewataka wababa wakae kwa kutulia na wampe ushirikiano mama.