Siasa nduguHuyu Kijana mpumbafu sana
Kwa mambo yanavyokwenda Kuna Kila dalili akajasema staki tena.Waziri Juma Aweso amesema wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani. Aweso amesema watu wanasema mama anaupiga mwingi lakini yeye anasema mama ni Noma na anawatahadharisha vyama rafiki(Upinzani) wasije wakasema wameibiwa kura 2025 kwani watanzania hawatamuacha.
Amewataka wababa wakae kwa kutulia na wampe ushirikiano mama.
Atakuwa anataka kuoa mke wa 4Huyu Kijana mpumbafu sana
Huku kitaa maisha ni magumu balaaKwa mambo yanavyokwenda Kuna Kila dalili akajasema staki tena.
Mbege imekosa wanywajiHuku kitaa maisha ni magumu balaa
Kwani hujalipwa posho?Mbege imekosa wanywaji
Tuko hapa Ufipa st banda la Bob Makani linapigwa mnadaKwani hujalipwa posho?
Tuko hapa Ufipa st banda la Bob Makani linapigwa mnada
Hahaha.......Wanawake wenzio siku hizi siyo wa mbeya sijui kwanini hubadiliki?
UWT hakuna kazi?Hahaha.......
Ofisi mtahamishia nyumbani kwa Tundu Lisu hadi atakaporudi