Aweso: Mama ni noma, vyama rafiki wasiseme wameibiwa kura 2025

Wanaccm ni wapumbavu sana kwani wao siku zote mwaka mzima wanawaza kura tu! Nchi inahitaji utatuzi wa mambo mengi kama kufufua viwanda ilivyoviua na mashamba makubwa iliyoyaua, yenyewe yamekalia kuwaza kura ambazo wao ndio wanaozihesabu.
 
kiukweli Aweso kwenye maji mshikaji amejitahidi sana wakuu tuache kubeza kila kitu
 
Uchaguzi usipokuwa na magumashi kila mtu si ataona? Mfumuko wa bei Aweso anajua ulivyo?
 
Kuna watu kula KWa urefu wa kamba zao kunawatesa Sana, tz hakuna anaesema chama flani kisiongoze nchi ilihali umefanyika uchaguzi wa huru na haki, na chini ya tume huru na maamuzi ya wananchi kueshimika basi ,kwamba alieshinda kashinda kihalali na alieshindwa kashindwa kihalali basi ,hapo sijui kelele za tumeibiwa zitatoka wapi

Mambo ya mtu kuja na maneno mengi ya kusifu kisa yuko hapo , hayajengi taifa ila yanabomoa,
I wish ningekua mteule wa watu kama awa ,nikufukuza tu ,badala ya kukaa na kuumiza kichwa jinsi ya kuleta jita kwenye wizara unayoongoza Ili kumpaisha mteule wake KWa wananchi ,mtu yupo kusifu tu,

Sasa ukisema rais ni noma inasaidia nini? Maana pesa hatoi mifukoni mwake ,ila je nyie wasaidizi wake mnatimiza wajibu wenu kuisimamia ,au kupongeza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…