Apart from that jamaa anahusika kwenye kuharibu nguvu kazi ya taifa kwa madawa ya kulevyaNilicheki conversation yak twitter anasema aliandaa show mwaka 2005 akalipwa m150+ na pia alikua anahusika kuwaleta wakina EVE, Fat joe alikua anachukua m100+
Jamaa anahusishwa Sana na issue za madawa ya kulevya na ikasemekana na dealer mkubwa sanaMkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Mkuu kumbe unasikia ila huna uhakika?..Jamaa ni drug dealer mkubwa Sana. Mungu awanusuru vijana wetu
Maneno kuntuu.Ingekuwa ni chibudii chibudee ingekuwaje? Insta ingeiomba msamaha ila ndio hivy kila mtu na life style yake hongera Ay
Wapi niliposema kaletwa kwenye Fiesta, kabla hujacomment au kureply comment ya mtu hakikisha unasoma na kuielewa sio kujiandikia ulivyoelewa wewe na ujinga wako.... Rudia comment yangu kwanza acha unaaaaa
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!
Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!
AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!
This makes AY look more stupid with these lies!
Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!
Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!
Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!
Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.
AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?
Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?
Tusifanyane watoto kabisa!
Mwanamke huyo wa Kinyarwanda hawezi kumshinda nguvu kwani na yeye ni wa huko huko, mama yake ni myarwanda aliyeolewa na msokile mmoja akiitwa Yesaya Mwakipagema!!!
Huyu kijana hana ubavu wa kumiliki huo mjengo huko USA alipiga nao picha tu; hapo Kigamboni tu aliweka rehani nyumba yake benki mpaka sasa ameshindwa kulipa deni na bila shaka itapigwa mnada!!
Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!!
Maana taarifa ni UPLIFTING hata kama ni uongo, not such a big deal UPAMBANE kiasi hicho hadi kumtukana huyo AY!!
Una mpangia hela zake?Duh,nauli ya marekani hiyo si angekomboa nyumba yake
Ndo comment yangu inavyosema?Una mpangia hela zake?
Hivi kumbe gesi ya Mtwara ipo!AY ana bizness zake hapa mjini na kawekeza sana kwenye ardhi toka kitambo ndo maana hata mziki anafanya kitajiri siyo kwamba unamlipa sana alijiandaa mapema sana.
Kuna siku Salama alisema AY aliposkia kuwa Mtwara kutaanza kuchimbwa gas alimwambia wakanunue maeneo mengi salama akawa ana mbwera mbwera yeye AY akawahi kununua maeneo mengi akiwa anajiandaa kwa uwekezaji.
Jamaa yuko vizuri kwa kiasi cha ukijana wa Kitanzania..
Ipo si mliwakabidhi Wachina sawa na dhahabu mlivyoikabidhi kwa wakina Bush na ZumaHivi kumbe gesi ya Mtwara ipo!
Kwahiyo unataka kusema kuwa wasanii wote kutoka USA wameletwa na CMG? hata kama una hulka ya kubisha si kila kitu cha kubisha, wapo wasanii kibao from states wamekuja nje ya kivuli cha CMD km maya, jayz na beyonce, omarion, EVE, justin timberlake nk
Pia kusema aliandaa show akalipwa 150m+ si lazima iwe show 1,huenda alipiga shows kama 10 hi with 15m per show, halafu kumbuka AY ndiye msanii wa kwanza tangu bongo flava ianze mwishoni mwa miaka ya 90 kufanya shows nje na collaboration na international artists, tuache ushabiki maandazi na wivu wa mke mwenza
Weh! Kwa hiyo kina AY wameajiri Wachina! Raha ilioje!Ipo si mliwakabidhi Wachina sawa na dhahabu mlivyoikabidhi kwa wakina Bush na Zuma
Wachina? Kaajiri wachina? Nani kaema kaajiri wachina?Weh! Kwa hiyo kina AY wameajiri Wachina! Raha ilioje!