AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Nilicheki conversation yak twitter anasema aliandaa show mwaka 2005 akalipwa m150+ na pia alikua anahusika kuwaleta wakina EVE, Fat joe alikua anachukua m100+
Apart from that jamaa anahusika kwenye kuharibu nguvu kazi ya taifa kwa madawa ya kulevya
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Jamaa anahusishwa Sana na issue za madawa ya kulevya na ikasemekana na dealer mkubwa sana
 
Mtamuamuamusha hater mmoja humu ligi ianze upya
 
Wapi niliposema kaletwa kwenye Fiesta, kabla hujacomment au kureply comment ya mtu hakikisha unasoma na kuielewa sio kujiandikia ulivyoelewa wewe na ujinga wako.... Rudia comment yangu kwanza acha unaaaaa

Unapoongea usidhani kila mtu ni mpumbavu!

Kuna kitu kinaitwa context!

Ulipokua unaongelewa wanamziki uliotaja wote ni seti ya walioletwa na CMG kwenye Fiesta zao mbalimbali,kasoro Justine Timberlake tu ndio uliingiza UONGO!

Sasa sijui ulimtaja Justine Timberlake ili iweje?Kweli ile set illegal member ni Justine Timberlake,na ulimuweka sababu ya tabia yako ya uongo,basi!Yaani unadanganya just for the sake of it!Huu ugonjwa,you need professional help!
 
[emoji23][emoji23]
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
 
Duh,nauli ya marekani hiyo si angekomboa nyumba yake
Mwanamke huyo wa Kinyarwanda hawezi kumshinda nguvu kwani na yeye ni wa huko huko, mama yake ni myarwanda aliyeolewa na msokile mmoja akiitwa Yesaya Mwakipagema!!!

Huyu kijana hana ubavu wa kumiliki huo mjengo huko USA alipiga nao picha tu; hapo Kigamboni tu aliweka rehani nyumba yake benki mpaka sasa ameshindwa kulipa deni na bila shaka itapigwa mnada!!
 
Sasa hivi AY jumlisha MwanaFA jumlisha Harmy B jumlisha P Funk,wote put together wauze ass kwa miaka 10 non stop they will NEVER pull this amount of cash!!

Mnh...Kaka kuna namna ya kupinga kupata ukweli ila we hupingi tu bali UNAPAMBANA!! Wanaosema una chuki binafsi wanaweza kuwa na hoja.

Maana taarifa ni UPLIFTING hata kama ni uongo, not such a big deal UPAMBANE kiasi hicho hadi kumtukana huyo AY!!

Labda AY alifanya deal ya unga akapata hizo hela...ulitaka PROOF? Kuna matajiri wangapi bongo ambao vipato vyao kulinganisha na matumizi haviendani!?

Labda AY hakulipia hela yote ya kununua hiyo nyumba - analipa taratibu! Labda kapata msaada kiasi fulani toka kwa rafiki, wakwe zake....!

Scenario ziko kadhaa. Na PROOF ni ngumu, unless mwenyewe AY afunguke zaidi!

Uzi huu huu ukiibuliwa tena miaka 2/3 ijayo PROOF labda itakuwa imepatikana.

Ukisoma kwa karibu, inaonekana wengi wanataka kuwa UPLIFTED na hii habari, hata kama ni "Ndoto za Alinacha"!.

Basi tuseme tu habari ni UPLIFTING, subject to possible PROOF in due course....
 
Maana taarifa ni UPLIFTING hata kama ni uongo, not such a big deal UPAMBANE kiasi hicho hadi kumtukana huyo AY!!

kwavile ni uplifting una ruhusa ya kudanganya?

hivi binadamu anapata wapi justification ya kuhalalisha uongo?

hiyo amount of money mkuu hesabu hazikubali hata iweje..tumefanya hapa pamoja zimekataa!

huwezi lazimisha sisimizi kunya kama tembo,it will never work!

kuuza unga mkuu hiyo scenerio si kweli!

najua ni showbiz kuna kunadanganya na ku-overrate vitu kujenga persona..ila penye uongo tuseme!
 
AY ana bizness zake hapa mjini na kawekeza sana kwenye ardhi toka kitambo ndo maana hata mziki anafanya kitajiri siyo kwamba unamlipa sana alijiandaa mapema sana.
Kuna siku Salama alisema AY aliposkia kuwa Mtwara kutaanza kuchimbwa gas alimwambia wakanunue maeneo mengi salama akawa ana mbwera mbwera yeye AY akawahi kununua maeneo mengi akiwa anajiandaa kwa uwekezaji.
Jamaa yuko vizuri kwa kiasi cha ukijana wa Kitanzania..
Hivi kumbe gesi ya Mtwara ipo!
 
mkuu unaweza ukawa una point ila usicheze na clouds media group boss. ruge mutahaba na mwenzake kusaga..

ruge ameishi sana usa na amesoma bachelor degree marekani san diego state university.. analipiwa ada na baba yake prof mutahaba..

kusaga amepiga sana disco enzi zile na ruge ndie anaeleta santuri za nyimbo kutoka usa.. na hata kusaga katembea sana majuu toka kitambo kwa pesa za mzee kusaga... hawa ni wajanja long time agoo.... ay hapo hapajui hata dar.. hawa jamaa wanatembea majuu

ruge na kusaga ni wajanja kitambo toka ay anaimba imba na kina g.k sijui mwana fa. kina ruge washatembea sana.. na hata ay kanyonywa sana na ruge kwa show za laki mbili mbili. hana ujanja ay wa kumzidi ruge

hakuna msanii wa nje alieletwa na a.y wasanii wa nje wameletwa na clouds media group na wajanja ruge na kusaga..

a.y ni kama binti tu mbele ya hivi vichwa viwili..
a.y hana ujanja wa kumzidi ruge


Kwahiyo unataka kusema kuwa wasanii wote kutoka USA wameletwa na CMG? hata kama una hulka ya kubisha si kila kitu cha kubisha, wapo wasanii kibao from states wamekuja nje ya kivuli cha CMD km maya, jayz na beyonce, omarion, EVE, justin timberlake nk

Pia kusema aliandaa show akalipwa 150m+ si lazima iwe show 1,huenda alipiga shows kama 10 hi with 15m per show, halafu kumbuka AY ndiye msanii wa kwanza tangu bongo flava ianze mwishoni mwa miaka ya 90 kufanya shows nje na collaboration na international artists, tuache ushabiki maandazi na wivu wa mke mwenza
 
Unaishi Kwenye Chumba Cha Kupanga Mwananyamala Kisiwani Umetoka Kugombana Na Mwenye Nyumba Kuhusu Kodi, Unaingia Jf Unakutana Na Thread Ya Ay Amenunua Nyumba Marekani Lazima Upagawe
 
Back
Top Bottom