AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Una ushahidi gani weka mezani tuuone

Wewe mwenye ku-claim kumiliki hivi vitu ndio utuwekee umiliki wako hapa mezani,just attach papers hapa!

Sio mtu yeyote anaamka asubuhi anakuna pumbu zake anaona leo ngoja niseme nina Jumba LA just for the sake of it alafu tukubali bila udhibitisho,you people are high on your own supply aisee!
 
Broker?

Niggaz,are you high?

AY has never been connected like Diamond is....na kua broker,what do you really mean?

Unajua how to book an international artist for a show or collaboration?Unajua process?

Na hiyo process inapitia kwa AY?Are you thinking using you butt or your head?

You people are in drugs!
Ungekuwa msanii,magazeti ya udaku yangekuandama kwa kuandika big stori yako kuwa una bifu nae,
Lakini kwa vile na wewe ni mpuliza moto mafigani, hutakuwa na jipya.
 
Sasa mnakataa nini? Time will say. Tunapenda vijana wanaojituma kazi though kaacha binti zetu kaenda oa kyasaka.

Wekeni atleast physical address ya hilo jumba huko Los Angeles halafu mengine tuachieni tutaprove na tutaweka hapa live!

Ni kama mimi medula yangu tu initume niandike humu nina meli bila kuweka udhibitisho si nitaonekana kichaa fresh kabisa!

Sasa AY anatofauti gani na Hamorapa na hizi kiki za maneno ya Uongo?

It is shame for a man to LIE!
 
Broker bila kuwa na kampuni ya kimataifa? Wale wanamusic wa nje wana management.... Kuna makampuni ya nawa manage. Hivi ay anaweza kuongea nayo hayo makampuni?
 
Mkuu,nyumba wanasema kanunua Los Angeles United State of America na sio Oklahoma au Oregon huko madongo kuinama!

Nataka tuelewane hapa!

Uongo ni kitu kibaya sana....

Kama mpo true sana,toeni address ya hiyo property tuwaletee ownership yake hapa tumalize utata!

Kiki za kisenge sana hizi,na zinamfanya AY aonekana hana tofauti na Hamorapa hata chembe!

Mpaka unatukana inaelekea umepaniki na kama umeumia sana hivi, kwanini?

Huwezi jua kipato cha mtu ndugu yangu.
 
Ungekuwa msanii,magazeti ya udaku yangekuandama kwa kuandika big stori yako kuwa una bifu nae,
Lakini kwa vile na wewe ni mpuliza moto mafigani, hutakuwa na jipya.

Sina bifu nae as an Individual..

He is a very good rapper...I like his music..

Ila kutoka public na kuanza KUDANGANYA umma hapo ndio kaniboa kabisa!

Kama mziki umemshinda yanini na kiki za kusema UONGO namna hii kama Hamorapa?

Kibaya zaidi he is very old for these types of stupid games,hizi ni size ya Hamorapa not him...It makes him really look stupid below retard line!
 
Mpaka unatukana inaelekea umepaniki na kama umeumia sana hivi, kwanini?

Huwezi jua kipato cha mtu ndugu yangu.

Nimetukana sababu watu wazima wanaposema UONGO ni shame!

Ilikua hakuna haja ya AY kusema UONGO like this,for what hasa?Ili iweje hasa?Ku-push mziki wake?

Rubbish!

Eti huwezi kujua pesa ya mtu,ni kweli ila UONGO unajulikana,hakuna watoto wadogo hapa!

Please do not insult our intelliegence,we are offended by these horrendous LIES!
 
Clouds wamewaleta wasanii wakubwa kutoka Marekani miaka yoooote kipindi hicho huyo SK yuko anasoma secondary forest hill moro huko


Ije kua kwa bwana mdogo davido wa hapo Naija ndio wapate connection kupitia kwa SK.

IMPOSSIBLE
Mkuu natumia simu ya tochi, ningekuwekea LINK. Usiamini 100% kila unachokiona.

Kuhusu Clouds fm kumtumia Sallam SK kuleta baadhi ya wasanii hapa, alilizungumza Sallam mwenyewe kwenye mahojiano na Gazeti la Championi wakati anazungumza namna alivyokutana na Diamonda

Mahojiano hayo pia yako humu.
 
Sina bifu nae as an Individual..

He is a very good rapper...I like his music..

Ila kutoka public na kuanza KUDANGANYA umma hapo ndio kaniboa kabisa!

Kama mziki umemshinda yanini na kiki za kusema UONGO namna hii kama Hamorapa?

Kibaya zaidi he is very old for these types of stupid games,hizi ni size ya Hamorapa not him...It makes him really look stupid below retard line!
Hapo ndo tunakinzana umesema ni mwongo, ok we want to known exactly where lies is ?
Unaweza kuniambia kufika na kuyasema hayo medulla oblongata yake haifanyi kazi?
Na je we unajuaje kuwa ni mwongo?
 
Mbona povu sana mkuu au maisha yamebana ukaamua upumue kupitia thread hii ambayo kimsingi haikuhusu hahahaha
Wala sina shida hizo mkuu

Naridhika na maisha yangu sana..Im more than blessed...I can pay my bills without asking anybody for nothing...

Tatizo ni majitu mazima yenye mvi yanaposema UONGO!

I got issue with that..Only that!
 
Nyumba au apartment?

AY huyu mwanamke wa Kinyarwanda nadhani anamshinda nguvu!

Chezea Tutsi ni high maintenance women...

AY na jumba United States of America wapi na wapi?

Hajui uwongo wake unaweza kubumburuka fasta maana everything kipo online?

Kiki za kizamani sana hizi!

Eti mwanamziki TAJIRI,what a joke!
Iwe kweli au uongo kwanini unateseka?
 
This is a LIE!

Tupe case number hapa,mengine tutacheck wenyewe!

Iweje walipwe wote,AY ndio atakate kwa show offs nyingi na mbwembwe nyingi sana ila FA na Msando wanakula vumbi?

Why,why,why?

FA anakula vumbi,Msando na sifa zake zote anakula vumbi,eti ghafla bin vuu AY ndie tajiri?

GTFOH!
Swali dogo tu, kama mie na wewe tunafanya kazi na tukapata kiwango kimoja cha mshahara je wewe ukiamua kwenda kuunywea mshahara wako bia na kufanyia ufuska ni lazima namimi nifanye hayo hayo kwa kutumia mshahara wangu? What if nikiamua niakutoe sadaka kanisani kuna makosa?
 
Hapo ndo tunakinzana umesema ni mwongo, ok we want to known exactly where lies is ?
Unaweza kuniambia kufika na kuyasema hayo medulla oblongata yake haifanyi kazi?
Na je we unajuaje kuwa ni mwongo?

Hajanunua nyumba LA mzee...

Tukaenda na numbers,tukajua he can never afford that..

Mkatumia kesi yao na Tigo labda kapatia hela mle,tukaenda na numbers bado ika-prove he will never afford a house in LA!

Biashara zake,so far ni event management alizofanya na clouds,na mgao wake sasa..numbers zikakataa kabisa!

Biashara zake zingine?Ni very low level businesses za kuokoteza senti hapa na pale..Eti boti za kubeba watu kutoka Jangwani Mbezi Beach kwenda Mbudya,brother zile ni boti au mitumbwi?Na anaokota hela za nauli kiasi gani?You people are on cocaine kabisa!
 
Yaan sikuwahi kujua kama haters wana exist untill nilipousoma huu uzi, duuh jamaa ana mchukia mtu for no reason, maana muhusika kasema vile wewe unampinga weka basi ukweli wako huweki umekazana tu muongo muongo,

Nawaza mpaka ikifika 2025 tutakavyokua tunapishana na watu wanaongea peke yao na kurusha ngumi barabarani.
 
Swali dogo tu, kama mie na wewe tunafanya kazi na tukapata kiwango kimoja cha mshahara je wewe ukiamua kwenda kuunywea mshahara wako bia na kufanyia ufuska ni lazima namimi nifanye hayo hayo kwa kutumia mshahara wangu? What if nikiamua niakutoe sadaka kanisani kuna makosa?

We are talking about billions here....

Mfano wako una-offend watu...How can you talk about billions na scenerios za kwenda kunywea pombe?Are really serious?
 
Yaan sikuwahi kujua kama haters wana exist untill nilipousoma huu uzi, duuh jamaa ana mchukia mtu for no reason, maana muhusika kasema vile wewe unampinga weka basi ukweli wako huweki umekazana tu muongo muongo,

Nawaza mpaka ikifika 2025 tutakavyokua tunapishana na watu wanaongea peke yao na kurusha ngumi barabarani.

Sijamchukia as a human being..

Nimechukia UONGO unaotoka kwake kwa ku-propagate LIES for stupid reasons like these!

Nikimchukia AY kuna mahali nalipwa?Is there any incentive I get?Nothing

This talk is nonsense!
 
Back
Top Bottom