Not to defend AY or anything.
I don’t know the dude.
However, in America, very few people, if any, buy houses and other big ticket items like cars etc., using cash.
When it comes to homes, people take mortgage loans from mortgage lenders.
Kwa hiyo, ukisikia mtu kanunua nyumba sijui ya laki ngapi huko, hiyo haimaanishi hizo pesa kazitoa mfukoni mwake taslimu.
Asilimia 99.98 atakuwa kachukua mkopo benki na atakuwa analipa kidogo kidogo kwa muda mrefu, iwe miaka 10, 15, 20, au 30.
Hivyo ndivyo ilivyo huko.