AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Hawajalipwa hata mia....Wangelipwa ingekua ni breaking news TZ nzima!

Walikata rufaa,na inavyokwenda,wanaweza settle outta court au wakashindwa all together!

Tigo wakishindwa ni precedence wanamziki wote watafungua na wao kesi wataifungia Tigo mbali,kuna janja wanacheza ngoma ife!
Video: Maamuzi ya rufaa ya Tigo dhidi ya hukumu ya kuwalipa AY na FA bilioni 2.18 kutolewa June 27 | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today

Hii tu inaprove jamaa got enough cash to push around
 

Hii hela bado hawajalipwa!!!!

Kama vipi tupe hukumu ya rufaa tuione hapa maana ni public document!

Hesabu za 2.18Billion tulishapiga tukaona kabisa AY hawezipata hela zaidi ya 500million kama mgao wake!

Sasa,hivi 500milioni hua inaweza kununua nyumba ya 1.5Bilioni?

Ni watu wenye mapepo tu wanawezasema hivi!

Mkuu,tunajua katoa wimbo jana,anakazia promo,nothing more:

Screenshot 2018-11-29 12.47.13.png
 
Kama unakiri huwezi juna kila mishe ya pesa anayofanya basi hakuna haja ya kupinga uwezo wake kipesa.
Mtu kama AY hawezi kuna anategemea muziki tu na shoo, lazima anabishara zake za maana, so kuspend hata 3bil kwa ajili ya nyumba ni kitu kidogo maana hiyo hela ya kawaida tu ukipambana unaipata

Siwezijua mishe zake,ni sawa lakini hesabu hua hazidanganyi!

Ni kama uniambie AY yupo maji ya mto Wami anavua papa,wakati mto Wami papa hawezi kuwepo hata dunia ibadilikeje!

Papa anapatikana baharini tu na sio Wami!

Ni upuuzi ulioje kusema kitu kama AY anamiliki utajiri wa 75Bilion USD wakati uchumi mzima wa TZ kama nchi una GDP ya 52.06Bilion USD!Sasa sijui AY angekua anakaa TZ ipi hasa!

Hii ni oxymoron!
 
Boss your still hatinv unless you wanna tell us you got 1 billion ha ging around ur crib

Forgot about Tigo deal hivi unajua how kipindi cha mkasi kilivyokua succesful na kupata matangazo kibao refer to waliokua wanakidhamini na mfumo wa uendeshaji vipindi Tv za Tanzania

AMBWENE YESSAYA :Msanii anayemiliki kipindi cha Mkasi
Hii hela bado hawajalipwa!!!!

Kama vipi tupe hukumu ya rufaa tuione hapa maana ni public document!

Hesabu za 2.18Billion tulishapiga tukaona kabisa AY hawezipata hela zaidi ya 500million kama mgao wake!

Sasa,hivi 500milioni hua inaweza kununua nyumba ya 1.5Bilioni?

Ni watu wenye mapepo tu wanawezasema hivi!

Mkuu,tunajua katoa wimbo jana,anakazia promo,nothing more:

View attachment 950177
Hata swala la kupewa ela ya kuleta wasanii bongo jamaa kitambo ana kampuni za ku,eta wasanii Tanzania doesnt matter how connected CmG wapo na wasanii wa nje bro alipata piece of a pie

AY awapa shavu wawili Unity Entertainment | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today

Tusiwage matomaso sana mda mwengine tujifunze kuapriciate bila hating
 
Boss your still hatinv unless you wanna tell us you got 1 billion ha ging around ur crib

Forgot about Tigo deal hivi unajua how kipindi cha mkasi kilivyokua succesful na kupata matangazo kibao refer to waliokua wanakidhamini na mfumo wa uendeshaji vipindi Tv za Tanzania

AMBWENE YESSAYA :Msanii anayemiliki kipindi cha Mkasi

Blah blah blah

Kipindi cha Mkasi kilikua successful sana and wara wara wara nyiingi...

Kilikua na pesa nyingi sana..then how did it die?

It DIED goddamnit!

If you are a businessman,can you explain that to me?

Do you realize how clueless you are sounding?
 
Ardhi ya ukubwa gani?
Au ndio yale yake! Msanii kajenga Ktk 20x25 plot..... Kelele kila kukicha!
Wabongo wengi tumezoa uongo hizi ni Kiki za pikipiki. Kuwa na ardhi mtwara haikufanyi wewe kuwa tajiri overnight
 
Ah ah bro just watch out we jamaa lazima utakuja kua mchawi uzeeni all good things have to come to an end kikubwa did you make money out of it...kwanini fresh prince of bell air,hanging with mr cooper,tausi,vioja mahakamani died... bro kama upo nje chill na kubeba box come back home dude there are still a lot of opportunity hapa...or cheki hiyo

Tv shows binafsi zinawalipaje wahusika? - JamiiForums
Blah blah blah

Kipindi cha Mkasi kilikua successful sana and wara wara wara nyiingi...

Kilikua na pesa nyingi sana..then how did it die?

It DIED goddamnit!

If you are a businessman,can you explain that to me?

Do you realize how clueless you are sounding?
 
Halafu unasema hujakataa hawezi kumiliki nyumba ila akupe uthibitisho hapo hapo tena unasema kwa hela zake hawezi kumiliki kwa hiyo hapo wewe umesimamia wapi? maana nahofia anaweza akakupa address ukathibitisha bado utaanza kuhoji pesa kapata wapi ukizingatia tayari ulishapiga hesabu ukaona hana pesa hiyo.

Hiyo ni hofu yako tu!

Mimi nimejaribu walao kumpa benefit of the doubt kwamba,well unawezakua nayo,then show me!

Hakuna contradictions zozote...nipo consistent all through kuhusu hili swala...

Shida ni mtu anaamua kukuna pumbu zake na kujiamulia kusema chochote bila kua na basis za ukweli halafu ategemee watu wote tukubali..Thats stupidity I refused to be part of!

Until then,as of now,ni UONGO mtakatifu!
 
Hawa jamaa wakienda marekani wanaakuwa na story za kiduanzi kufikiri wao ni intelligents,they know things wakati sometimes "watupu tu". Huko unakuta walienda au wako kwa pesa za baba zao.
Watu wako bongo walinunua hisa za makampuni makubwa kama Facebook e.t.c ukiuliza hawa wanakwambia asie resident haruhusiwi wakati kuna njia za mzunguko unapitia hata kwa Charles Schwab ukiwa na kama 30 million unaparticipate NYSE sijui NASDAQ, hivyo hivyo na katika Mortgage kuna njia za mzunguko usiwaamini sana hawa wamarekani watanzania wa hela za baba sijui katoliki,wasikilize Ma OG wenzako kama Masanja Ay na mhalifu kama Mponjoli ukibahatika

1543486742984.png


Una maana kina Masanja na AY wana hivyo vigezo au sio?
 
Hawa jamaa wakienda marekani wanaakuwa na story za kiduanzi kufikiri wao ni intelligents,they know things wakati sometimes "watupu tu". Huko unakuta walienda au wako kwa pesa za baba zao.
Watu wako bongo walinunua hisa za makampuni makubwa kama Facebook e.t.c ukiuliza hawa wanakwambia asie resident haruhusiwi wakati kuna njia za mzunguko unapitia hata kwa Charles Schwab ukiwa na kama 30 million unaparticipate NYSE sijui NASDAQ, hivyo hivyo na katika Mortgage kuna njia za mzunguko usiwaamini sana hawa wamarekani watanzania wa hela za baba sijui katoliki,wasikilize Ma OG wenzako kama Masanja Ay na mhalifu kama Mponjoli ukibahatika
Mponjoli huyu mchizi namskia kitambo sana tangu enzi za Sugu kipindi hicho anajiita 2Proud kuna wimbo kamrusha sana unaitwa " stori" hahahaha.....real Nigga get money from a f*ckin start itamke kwa sauti ya Mnyamwezi Rick Ross
 
Mshkaji ni kama walicross path na A Y then anaona mwenzie anatoboa au maybe kakaa sana mbele kabeba box sasa anamind kuona mbongo anamzidi all in all wabongo tupunguze U-KAA sio lazima kuvutana chini mda wote
Lol, me naona AY angetafutwa wakae chini na mshikaji wamalize tofauti zao maana duuh
 
Ah ah bro wpjust watch out we jamaa lazima utakukuja kua mchawi uzeeni al, good things have to come to an end kikubwa did you make monwy out of it.

Naona umeamua kua prophet wa kujua future za watu...Wacha wee!

The show DIED!...You can not explain that to me bro...Nothing!

kwanini fresh prince of bell airmhanging with mr cooper,tausi,vioja mahakamani died

Zilikufa baada ya grossing turnovers zilipoanza kushuka!Thats true!

Turnoever zikianza kushuka hua shows zinakua discontinued,hakuna sababu zingine!

Kama unaweka hoja hiyo,how do you explain series zinazo-run non stop for decades such as :

-The Simpsons (1989-Present)
-Guarding Light..Imerun for 57years consecutively
-The Bold and The Beutiful..Ilianza mwaka 1987-Present
-etc


These are the best all time and longest running shows,unasemaje kwa scenerio yako hiyo uliyotoa isiyokua na mashiko kabisa???
 
Hiyo ni hofu yako tu!

Mimi nimejaribu walao kumpa benefit of the doubt kwamba,well unawezakua nayo,then show me!

Hakuna contradictions zozote...nipo consistent all through kuhusu hili swala...

Shida ni mtu anaamua kukuna pumbu zake na kujiamulia kusema chochote bila kua na basis za ukweli halafu ategemee watu wote tukubali..Thats stupidity I refused to be part of!

Until then,as of now,ni UONGO mtakatifu!
Haya bhana japo swali la kule juu hujalijibu, ila niombe kitu kama unataka uthibitisho basi wasiliana na AY ila kuwaomba wadau Address hapa ni kuwaonea tu.

Karibu lunch tho.[emoji4]
 
Kiasi gani cha pesa?

AY as a musician ni even smaller than MwanaFA carrier wise!....Hela za kuperform na music sales MwanaFA is above AY day and night!

Can AY perform anywhere on earth kwa 10mil a show?NEVER!

Lets say kafanya collection baada ya costs zake total 100mil so far ,say that.....


Ndio upumbavu siutaki huu wa generalization namna hii...

Mashamba "makubwa"?Ukubwa upi?Yapo located wapi?Yanafanya uzalishaji upi?Unajua kulima heka say 3 tu za mpunga ni kiasi gani cha mtaji?

Tumpe ana hekari 100,kuzilima unajua anahitaji mtaji kiasi gani?Hivi wewe una mapepo?

Hivi ulishawahi lima ukajua agricultural inputs uzalishe mazao inatakiwa mtaji kiasi gani?

Kumiliki ardhi ya mapori heka 3,000 kila mtu anazo hizo.......jasho la matako ni mtaji kugeuka hekari 100 au 200 kuzalisha mazao...Ni mtaji zaidi ya milioni 500 kwa hekari 300...

Hapa earning alizokusanya,nikimpendelea sana nimpe 50mil so far!

Hivi mna mapepo nyie?



This is unsubstantiated!

Huna account of this!Umeandika eti "Link"!Are you really serious?Tupe hesabu zake,nani na nani kashalink so far na makusanyo.

By me being so generous tufanye kapata 150mil kwenye hii biashara hewa ya "link" kama ulivyoiita!



Hii uliona wewe..Who are you for us to believe you?

Hell no...

Hapa earning ni 0mil!



Artel au kampuni lolote la simu hua haliongei na msanii yeyote kujenga matangazo!

Matanagazo yanajengwa na Advertising Agencies yaliyopata kazi kutoka haya makampuni ya simu..Hivyo AY anaitwa na anapewa kazi tu kama artist model kutokea kwenye haya matangazo...Ujira wake sasa,upumbavu mtupu!

Na hizi deal wanapata wasanii mbali mbali,tuseme Diamond ndio earner mkubwa kabisa wa hizi maana ndie hottest artist of all time in TZ...AY ni kauka nikuvae!

Again,nikimpendelea sana nimpe 50mil kapata so far!



Hii biashara ya Ulanguzi wa mazao kila mtu anaijua.....Upumbavu mtupu.....

Mazao gani?Mahindi,korosho,Kahawa,etc?

Nikiwa very fair nimpe 70mil made so far kama faida!


HITIMISHO:::::


Jumla ya hela possible alizojenga ni kama 420MILIONI......

Hivi milioni 420 inaweza kununua nyumba ya 1.5BILIONI kama sio mna upungufu wa akili nyie?


UPUMBAVU MTUPU!
Teh teh jamaa bana unakuja na approximations zako na kutuita wapumbavu.Mpumbavu ameshaonekana.Kiranga kakwambia kafanya kazi na kina AZ teh teh,baba kama una njaa kama mimi hapa Tanzania na uko Marekani kaza buti tu tutashinda...tuwe majasiri tu kuna kuuza unga/kuwa jambazi/kusafirisha pembe za ndovu e.t.c teh teh teh hebu kadiria na hii huleta kiasi gani cha pesa...[emoji3] [emoji3] [emoji23]
 
View attachment 950199

Una maana kina Masanja na AY wana hivyo vigezo au sio?
Nilikuwa nakuonyesha habari ya pesa kwanza,hayo ya mortgage mi sio mwongo sijui,bu lazima kuna njia nyingine,kwani matajiri wote wanaonunua majengo Marekani ni wakazi wa hapo?
Kumbe unaweza kukaa Marekani ukawa mduanzi kama mimi wa hapa hapa teh teh teh
 
Teh teh jamaa bana unakuja na approximations zako na kutuita wapumbavu.Mpumbavu ameshaonekana.Kiranga kakwambia kafanya kazi na kina AZ teh teh,baba kama una njaa kama mimi hapa Tanzania na uko Marekani kaza buti tu tutashinda...tuwe majasiri tu kuna kuuza unga/kuwa jambazi/kusafirisha pembe za ndovu e.t.c teh teh teh hebu kadiria na hii huleta kiasi gani cha pesa...[emoji3] [emoji3] [emoji23]

Acha hearsay,refute my analysis hapo kama unaweza!

Hujaelewa comment ya Kiranga vizuri nadhani....Jikaze umuelewe vizuri kabisa!

Thats poor part on your side,not us!

---------------------

Nyumba ya jamaa yako ni proven sio yake hata kwa analysis ndogo tu kwenye hii picha!

Kuna watoto wadogo I guess hapo mlangoni wawili,wamevaa vests(relaxing wear) nyeupe,hapo inaelekea ni kwao...AY ana watoto kwanza?Hana!

Alienda nao USA kwenye hiyo safari yake,jibu ni nooooo!

Kati ya hao watoto hapo mlangoni na AY na mkewe waliosimama hapo,inaoesha wazi wamiliki/wanaokaa hapo ni hao na akina AY ni wageni/strangers tu wamepiga picha!

Photos dont lie!

Thats my analysis,hutaki andamana!

Au lete yako tuone logics zake!

Screenshot 2018-11-29 14.57.26.png
 
Acha hearsay,refute my analysis hapo kama unaweza!

Hujaelewa comment ya Kiranga vizuri nadhani....Jikaze umuelewe vizuri kabisa!

Thats poor part on your side,not us!

---------------------

Nyumba ya jamaa yako ni proven sio yake hata kwa analysis ndogo tu kwenye hii picha!

Kuna watoto wadogo I guess hapo mlangoni wawili,wamevaa vests(relaxing wear) nyeupe,hapo inaelekea ni kwao...AY ana watoto kwanza?Hana!

Alienda nao USA kwenye hiyo safari yake,jibu ni nooooo!

Kati ya hao watoto hapo mlangoni na AY na mkewe waliosimama hapo,inaoesha wazi wamiliki/wanaokaa hapo ni hao na akina AY ni wageni/strangers tu wamepiga picha!

Photos dont lie!

Thats my analysis,hutaki andamana!

Au lete yako tuone logics zake!

View attachment 950339
Nyumba sio hii nadhani, hii ni attachment kupamba habari
 
Nyumba sio hii nadhani, hii ni attachment kupamba habari

Leo mnaikataa nyumba yenu?

Hahahaaaaaa,maajabu aiseee!

AY na mkewe wamesimama hapo cluelessly kama strangers na vipochi vyao makwapani eti ndio nyumba yao!!!

What a LIE!

Kadanganyeni watoto!
 
Back
Top Bottom