AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

Wapi Salama nilijua anatoka na Ay

SM-G955F Samsung galaxy S8+
 
heheheh uchumba sugu,dedication to master jay kokote uliko
 
Hayo ndo mapenzi,wanajuana wamekubaliana,kuachana hao saiv ni Marachache sana.
Cyo siku mbili nikuoe af kesho unaleta mambo mengiiiii na visingizio visivyo na mipaka.

Hongeren sana wadada mjifunze,kwa wenzenu.

Kama mke profesa na mke Wa Ay wamewavumilia sana waume zao.

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Kipya hapo ni magoti kupigwa na bwana ankara au hako ka pete,miaka nane bado sifa zitolewe tu.
Haya ngoja tusifu,hongereni kwa pete na magoti.

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Kwakweli, hata hiyo mitatu loh ntakuwa nimejitahidi sana kumvumilia.
 
Iknow the lady personally..naumia sana anyways nawatakia Maisha mwema my half rwandan half Arabic Rehema...
Tufafanulie plz


Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...
Kweli kbs.
 
Hivi unawezaje kuishi na mwanamke chini ya dari moja kwa miaka nane halafu hata tumbo haliumuki?
Hawa watu waende kwa Mwingira wakapate maombi, huenda kuna shida kwenye mfumo wa uzazi...
Hahahha hadi nimecheka kwa sauti.
 
wanafanana sanaaa

Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
 
Hili nalo neno! Mkiishi tu bila ndoa kila mtu anakuwa na nidhamu maana anaogopa ukileta fyoko mnagawana mbao [emoji3]

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…