AY & FA: Bilioni 2 za tigo ni hela za kawaida sana kwetu, tushazikamata sana

AY & FA: Bilioni 2 za tigo ni hela za kawaida sana kwetu, tushazikamata sana

Wanamuziki AY na FA wamedai kiasi cha fedha bilioni 2.1 mahakama iliyoamuru Tigo iwalipe ni hela za kawaida kwao kwa sababu wameshakamata hela kama hizo mara nyingi
Wamesema wao wametoa kama mwongozo kwa wasanii wengine kudai haki zao inawezekana

Wamesema hata wakipokea fedha hizo hutawaona wamepost kwenye mitandao ya kijamii kama wasanii fulani wanavyofanya na kusema wao sio washamba wa kiasi hicho

Pia wamedaisiku hizi hawapo karibu tena kama zamani kwa sababu maisha yao yamebadilika na ukaribu unabadilika pia


hii ndio inaitwa mswahili akipata matako ulia mbwata[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanamuziki AY na FA wamedai kiasi cha fedha bilioni 2.1 mahakama iliyoamuru Tigo iwalipe ni hela za kawaida kwao kwa sababu wameshakamata hela kama hizo mara nyingi
Wamesema wao wametoa kama mwongozo kwa wasanii wengine kudai haki zao inawezekana

Wamesema hata wakipokea fedha hizo hutawaona wamepost kwenye mitandao ya kijamii kama wasanii fulani wanavyofanya na kusema wao sio washamba wa kiasi hicho

Pia wamedaisiku hizi hawapo karibu tena kama zamani kwa sababu maisha yao yamebadilika na ukaribu unabadilika pia


Duuh heri yao wanasema ndogo
 
Wanamuziki AY na FA wamedai kiasi cha fedha bilioni 2.1 mahakama iliyoamuru Tigo iwalipe ni hela za kawaida kwao kwa sababu wameshakamata hela kama hizo mara nyingi
Wamesema wao wametoa kama mwongozo kwa wasanii wengine kudai haki zao inawezekana

Wamesema hata wakipokea fedha hizo hutawaona wamepost kwenye mitandao ya kijamii kama wasanii fulani wanavyofanya na kusema wao sio washamba wa kiasi hicho

Pia wamedaisiku hizi hawapo karibu tena kama zamani kwa sababu maisha yao yamebadilika na ukaribu unabadilika pia


heri yao wanasema ni ndogo
 
Aisee kweli maisha hatufanani..wengine hadi tunakufa hatutobahatika kushika hata bilion moja
Wamedai wamezikamata sana lakini siyo kuzimiliki, kumbukeni Mwana Falsafa aliwahi kufanya kazi benki. Mimi mwenyewe nimeshika sana mpaka B100, ila Jana nimepigwa faini trafc kwasababu Gari yangu ina matairi kipara na sina mpango Wa kununua leo wala kesho maana fedha imenikalia hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom