AY: Kumfungulia Mtoto Mchanga Akaunti Mtandaoni ni Tatizo la Akili

AY: Kumfungulia Mtoto Mchanga Akaunti Mtandaoni ni Tatizo la Akili

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
AY.JPG

“Unakuta una mtoto mchanga unamfungulia akaunti mtandaoni, eti mtoto anaandika ‘Mama I love you’ kisha wewe mama unajibu ‘I love you too’, yote hayo unaandika na unajijibu mwenyewe, hilo ni tatizo la akili.

“Siku hizi kuna matatizo mengi ya akili lakini hatujayagundua, unamfanya mtoto asiufurahie utoto wake, anaweza kufikisha umri wa miaka 18 na akawa hapendi hayo mambo, itafika hatua wazazi wanaweza kuanza kuwachora tatuu watoto wao,” - Ambwene Yessayah ‘AY’, nyota wa Muziki wa Bongo Fleva.


Source: Salama Na
 
Sio kila kitu tuwe serious, huwa nafaidi account za watoto mbali mbali wa kibongo, panaponichekesha tu ni pale mama zao wanapojipost humo na kuanza kujisifia sifia kisha wanarudi kwenye accounts zao wana like na kucomment eti awwwii my baby😂😂😂😂😂
 

“Unakuta una mtoto mchanga unamfungulia akaunti mtandaoni, eti mtoto anaandika ‘Mama I love you’ kisha wewe mama unajibu ‘I love you too’, yote hayo unaandika na unajijibu mwenyewe, hilo ni tatizo la akili.

“Siku hizi kuna matatizo mengi ya akili lakini hatujayagundua, unamfanya mtoto asiufurahie utoto wake, anaweza kufikisha umri wa miaka 18 na akawa hapendi hayo mambo, itafika hatua wazazi wanaweza kuanza kuwachora tatuu watoto wao,” - Ambwene Yessayah ‘AY’, nyota wa Muziki wa Bongo Fleva.


Source: Salama Na
Mtoto ni wake hakuna haja ya kumpangia, akifikisha hiyo miaka 18 atakuwa mtu mzima anaweza amua la kufanya, watoto tunawalisha mchicha lakin wakifika miaka 18 wanaweza kataa kula mchicha vile vile , kwahiyo hoja yake haina mashiko
 
Uchizi tena wa kiwango cha juu.

Naona ni vyema mtoto akue aanzishe mwenyewe.
Mtoto mdogo mzazi ndio anaamua kila kitu hakuna tatizo , hata vyakula tunawalisha udogoni lakini wakikuaa wanavikataa, hivyo hivyo account unafungua kama akikua akakataa basi hayo ni maamuzi yake maana ameshakuwa
 
Sio kila kitu tuwe serious,huwa nafaidi account za watoto mbali mbali wa kibongo,panaponichekesha tu ni pale mama zao wanapojipost humo na kuanza kujisifia sifia kisha wanarudi kwenye accounts zao wana like na kucomment eti awwwii my baby😂😂😂😂😂
Life is too short.
 
Sio kila kitu tuwe serious,huwa nafaidi account za watoto mbali mbali wa kibongo,panaponichekesha tu ni pale mama zao wanapojipost humo na kuanza kujisifia sifia kisha wanarudi kwenye accounts zao wana like na kucomment eti awwwii my baby[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapenda huo uchizi wa mtoa mada.
 
Sio kila kitu tuwe serious,huwa nafaidi account za watoto mbali mbali wa kibongo,panaponichekesha tu ni pale mama zao wanapojipost humo na kuanza kujisifia sifia kisha wanarudi kwenye accounts zao wana like na kucomment eti awwwii my baby[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwo ndo ugonjwa wa AKILI sasa

Nilishangaa nilimpeleka DOGO MUHIMBIRI Kwa tatizo la kukojoa kitandani nikaambiwa hilo ni moja katika makundi ya MENTAL DISORDERS kwa hali ilivyo sasa nimekubaliana na yule jama na utafiti wake katika WATU WA NNE BASI MMOJA NI
 
Back
Top Bottom