Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwahiyo child benefits uliwawekea kwenye savings?
Hapana serikali ilitoa muongozo tuwafungulie acc na wao wakatuwekea £250 ya kuanzia
Nilikuwa nawawekea kutoka kwenye mshahara direct debit lakini siwezi kuzigusa tena maana sio zangu
Child benefits ni zao kwa matumizi