Natamani kujua kwanini haupost Tena na je inahusisha picha zako au za mtoto?me siku hizi hata picha sipost tena, hii mitandao imedhihihirisha jinsi watu walivyo wabaya sana. iwe birthday, graduation, mtoto kafanya hiki, sijui sherehe gani sitokuja kupost tena
Na Paula, na Elizabeth maikoJe, utajuaje kama its not harmful? Mfano tumeona baadhi ya watoto walioingizwa kwenye mitandao wamekua subjected to bullying and the like. Ref. mtoto wa Uwoya
Why, what happened.me siku hizi hata picha sipost tena, hii mitandao imedhihihirisha jinsi watu walivyo wabaya sana. iwe birthday, graduation, mtoto kafanya hiki, sijui sherehe gani sitokuja kupost tena
Unataka kila mtu awe na akili za AY?Chizi mwingine huyu hapa.
When a society will be socializing with technology aka device we will have idiot society everUchizi tena wa kiwango cha juu.
Naona ni vyema mtoto akue aanzishe mwenyewe.
Social media sickness
“Unakuta una mtoto mchanga unamfungulia akaunti mtandaoni, eti mtoto anaandika ‘Mama I love you’ kisha wewe mama unajibu ‘I love you too’, yote hayo unaandika na unajijibu mwenyewe, hilo ni tatizo la akili.
“Siku hizi kuna matatizo mengi ya akili lakini hatujayagundua, unamfanya mtoto asiufurahie utoto wake, anaweza kufikisha umri wa miaka 18 na akawa hapendi hayo mambo, itafika hatua wazazi wanaweza kuanza kuwachora tatuu watoto wao,” - Ambwene Yessayah ‘AY’, nyota wa Muziki wa Bongo Fleva.
Source: Salama Na
Kwa hiyo mtoto ndiye anakuwa ana_post!?Mtoto ni wake hakuna haja ya kumpangia, akifikisha hiyo miaka 18 atakuwa mtu mzima anaweza amua la kufanya, watoto tunawalisha mchicha lakin wakifika miaka 18 wanaweza kataa kula mchicha vile vile , kwahiyo hoja yake haina mashiko
Mzazi ndio anajua zaidi yeye ndio kila kitu ,mpaka mtoto atakapo kuwa mtu mzimaKwa hiyo mtoto ndiye anakuwa ana_post!?
Cjui sherehe gani sitokuja kupost ten
Sahihi, hii ndiyo maturityme siku hizi hata picha sipost tena, hii mitandao imedhihihirisha jinsi watu walivyo wabaya sana. iwe birthday, graduation, mtoto kafanya hiki, sijui sherehe gani sitokuja kupost tena
Uchizi mwingine huu kuandika muhimbiri badala ya muhimbiliHuwo ndo ugonjwa wa AKILI sasa
Nilishangaa nilimpeleka DOGO MUHIMBIRI Kwa tatizo la kukojoa kitandani nikaambiwa hilo ni moja katika makundi ya MENTAL DISORDERS kwa hali ilivyo sasa nimekubaliana na yule jama na utafiti wake katika WATU WA NNE BASI MMOJA NI