MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Teh teh teh teh,Hahaha!! Nyuzi zangu lazima zitakuboa tu... mimi na mzee mwenzangu Malcom Lumumba tumezoea kujadili Bombardier, Mchuchuma, Liganga n.k... ashukuriwe Demiss manake ndie huwa anatuburuzwa kwa minyororo hadi kwenye social lounge!!!
Siku hizi ubaguzi umepunguaWorst thing in the world is to be back in America.
Ni bora kuugua ukoma Bongo kuliko treatment za watu weusi huko kwa Tulampu
Mkuu YESU atakuja hapa hapa duniani na kuuleta Ufalme wa MUNGU hapa hapa na makao yake makuu yatakuwa Jerusalemu ile iliyopo pale mashariki ya kati. Ule mji unaojengwa Mbinguni unaoitwa Jerusalemu utashuka duniani na kutua pale pale ilipo Jerusalemu ya sasa hivi.Mkuu, umemaanisha jerusalem mbinguni au kule mashariki ya kati!?
Akikupa jibu naomba uni-tag!!Kwasababu swaiba wake ni Salah au?
ha ha ha kweli kumenoga maana kuna dreamliner inafanyiwa service kati kati ya safari na abiria wanashushwa.. ukisema mbovu unaambiwa nzima ila service tu
Naona kesi ya tigo imewalipa sio kitoto
Bt bongo Dar esp ukiwa na hela maisha ni mazur sn yani
Labda hawataki figisu za huku
Lumpsum hio ni good start ishu ni kipato cha kila sikuwamelipwa bilioni 2.. wamegawana bilion moja moja.. na msando akapewa parcent yake... bilioni moja ni milion moja moja ziwe 1000... sio hela ya kitoto
Wewe utahamia New York lini ???Lumpsum hio ni good start ishu ni kipato cha kila siku
Bila shaka kajipanga
Ah Kule safari tu aisee sijawahi dream kuishi nchi yoyote zaidi ya bongoWewe utahamia New York lini ???
Duuh wewe uko kama mimi tu,Ah Kule safari tu aisee sijawahi dream kuishi nchi yoyote zaidi ya bongo
Nkiishi beach dar huku nje sipajitaji kbs yani
I enjoy the company of family n friends na mazingira nlozoea
Wewe je
You're deluded. Unajua weusi wangapi wamekufa na wapo jela marekani kwa issue very minor, huu mwaka alone. Wabongo bhana, usiache mbachao kwa msala upitao. Mtapata tabu sana.Unaweza kuta TZ kuna ubaguzi kuliko kwa Trump? ubaguzi unaofanywa na Jiwe na watu wake, police n.k ni ubaguzi mbaya sana.
Rudi nyumbani kumenoga
Nje maisha yako tight sana basi tu sijui watu wanapapendea niniDuuh wewe uko kama mimi tu,
Yaani huko nje ni kuzuri sana sana lakini binafsi moyo wangu uko Tanzania.
Kinachonivutia huko nje ni elimu na kazi tu, lakini hakuna sehemu nayoipenda kama bongo.
Maisha ya bongo ni cheap sana na bata yake ni ndefu kama uko vizuri mfukoni.Nje maisha yako tight sana basi tu sijui watu wanapapendea nini
Huku kwetu ni kwepesi ukiwa mtu wa bidii plus ukabahatika sm few thngs unaishi vizuri mnoo
Kwa wajaluo si mchezoKila mtu na ndoto yake kiukweli mimi napenda kuishi Migori-Kenya.
Unataka kusema anadanganya siyo?Hana uwezo wa kuishi Calabasas, L.A...achilia mbali kununua nyumba sehemu hiyo. Jifunzeni kufanya research kabla ya kuandika taarifa humu JF. Sio kila mtu ni boya humu.
No Research No right to Speak.