Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nimesema my dude nyumba za kulipa miaka 30 hizi watu wasioelewa mortgages za US tu ndiowatakaoona ajabu mtu kununua nyumba ya 2-3 m kama kajipanga.
Kununua gari (lease..finance etc) ni tofauti na kununua nyumba (lease..finance etc) in certain Zip codes Bob.
Unataka kuniambia huyo jamaa atakuwa na 700+ credit score to lease or finance a house in Calabasas?
Watu walioishi L.A wanajua inakuwaje hii!
Nataka tuwe realistic that's all.
Hainiongezei wala kunipunguzia Usingizi hata jamaa akinunua Mansion next to Pearly Gates up in Heaven.
Haahaaaamkuu utawaweza wabongo basi kwa roho mbaya.... maana jamaa siku hizi picha zote anazopost snap na insta yupo kwenye huo mjengo sasa hao wanaobisha wanataka kusema kiwa kila siku akitaka kupiga picha huwa anaenda hapo anapiga alafu anarudi sehemu nyingine anapoishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha.Unajuaje kama Hayo majambazi ni Mimi.
Plus the guy has been hustling for decades, biz kibao.True that!
30yr loan, 2-4% APR, decent down payment.....hapo your monthly note inaweza hata isiwe kubwa kivile..:
Making it very possible to buy a house.
Acha kuongea kama muhuni muuza Togwa wa vingunguti.Mazee, nimekuuliza unazijua portfolio za AY na huyo mke wake mpya?
Kama wanahusiana na majambazi wa madini wa Congo na wamelipwa hela nzuri kwa deal walizofanya majuzi wewe utajuaje?
Unaweza kujibu hayo maswali?
Sikatai,inawezekana jamaa kaomba tour kwa realestate agent akapiga picha na kuzusha nyumba yake.
Lakini unavyobisha una uhakika gani? Una data?
Ha ha ha ha.
We jambazi Jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kiranga nieleweshe vizuri hapo kwenye tax billKuna mshkaji ana growing fam halafu alijibana sana first home, kachukua crib ambayo tukiiweka hapa itaitwa "mansion" kama hivyo,pool and all, the works.
Kashaanza kulalamika akiangalia tax bill na mazagazaga mengine, anasema angalia sana usinunue kwa emotion.
Huo mwanya ni wako au.Ha ha ha ha.
We jambazi Jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtu katoka zake Africa background checks za Marekani zitajuaje historia yake ya Africa.Acha kuongea kama muhuni muuza Togwa wa vingunguti.
Kununua nyumba sehemu kama CALABASAS ingekuwa rahisi hivyo kwa watu aina ya hao so called majambazi wa madini Congo then before hao majambazi wako hawajafika huko drug dealers wangekuwa wamejaa huko.
Kununua nyumba baadhi ya Zip code haijalishi tu hela bali...jina...background records..etc.
So kindly go back to your cave and get that book called "Be Realistic for Dummies" pitia kurasa mbili tatu zitakusaidia.
Acha kuongea kama muhuni muuza Togwa wa vingunguti.
Kununua nyumba sehemu kama CALABASAS ingekuwa rahisi hivyo kwa watu aina ya hao so called majambazi wa madini Congo then before hao majambazi wako hawajafika huko drug dealers wangekuwa wamejaa huko.
Kununua nyumba baadhi ya Zip code haijalishi tu hela bali...jina...background records..etc.
So kindly go back to your cave and get that book called "Be Realistic for Dummies" pitia kurasa mbili tatu zitakusaidia.
KunaMpakistani mshkaji wangu kanunua nyumba kama $400,000 kila mwaka anapigwa karibu $17,000 kwenye kodi ya hiyo nyumba. Aikaa miaka 20 tu anainunua nyumba kwa kodi tu.Kiranga nieleweshe vizuri hapo kwenye tax bill
[emoji13] [emoji13] [emoji13] Haya jambazi Usiku mwemaYah tena Mbaya sana nawindwa kila kona.
UnamkumbukaUncle ruckus wa "the Boondocks"Mazee, mbona kama vile unazungumzia assumptions tu?
Avator tuuHuo mwanya ni wako au.
Kuna wakati kitambo kidogo matumizi yangu yalinifanya nionekane kwenye radars za Bank of Americakama nina kampuni. Wakanifungulia akaunti ya hadhi ya kampuni kwa sababu ya matumizi tu, wakati sina ka
Unaonekana una matatizo.Mtu katoka zake Africa background checks za Marekani zitajuaje historia yake ya Africa.
Mazee, onesha ushahidi AY hajanunua hiyo nyumba basi, au una ugwadu tu maisha yamekupiga?
Mimisisemi kwamba AY nilazima kanunua hiyo nyumba, inawezekana anaendekeza show.
Lakini kablaya kusema hajanunua hiyo nyumba, weka ushahidi basi.
Kwa sababu kinyume na hivyoutaonekana hater tu unabisha kitu kabla hujapata ushahidi wowote.
Ooh Ok.....mbona kodi kubwa hivyoo?...na miji yote kwa hapo marekani tax bill inakuwa kubwa au inategemea na nyumba na nyumba?KunaMpakistani mshkaji wangu kanunua nyumba kama $400,000 kila mwaka anapigwa karibu $17,000 kwenye kodi ya hiyo nyumba. Aikaa miaka 20 tu anainunua nyumba kwa kodi tu.
Nami nina mpango wa kukupush.inawezekana mamsap ndio kapush zaidi
Nimesema hivii na narudia tena AMBWENE HAWEZI KUNUNUA MANSION CALABASAS.Mazee, mbona kama vile unazungumzia assumptions tu?