Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nimesema my dude nyumba za kulipa miaka 30 hizi watu wasioelewa mortgages za US tu ndiowatakaoona ajabu mtu kununua nyumba ya 2-3 m kama kajipanga.
True that!
30yr loan, 2-4% APR, decent down payment.....hapo your monthly note inaweza hata isiwe kubwa kivile..:
Making it very possible to buy a house.