AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

Duu yani nashanaa sana watu wanavyotumia nguvu kubwa kukanusha as if wanajua source zote za income ya Ay au source za income za mkewe. Shame on you
 
MWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’, ambaye wimbo wake wa Microphone aliomshirikisha Fareed Kubanda ‘FID Q’ ndiyo mpya kwa sasa, amefunguka siri ya kuamua kuishi Marekani.
Akichonga na Star Showbiz, dairekti kutoka kwenye ardhi hiyo ya Donald Trump, AY mwenye makazi katika Jiji la Calabasas, California alisema ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu kwamba siku moja awe na makazi kwenye taifa hilo mbali na alipozaliwa Tanzania.
“Siri ya kuja kuishi Marekani ni kwamba hii ilikuwa ndoto yangu ya muda mrefu niwe na makazi huku. Kwa hiyo kwa kufanikisha kununua mjengo Marekani kwangu nimetimiza jambo moja muhimu sana maishani mwangu na ninamshukuru Mungu,” alimaliza AY.

Source: Muungwana blog
 
MWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’, ambaye wimbo wake wa Microphone aliomshirikisha Fareed Kubanda ‘FID Q’ ndiyo mpya kwa sasa, amefunguka siri ya kuamua kuishi Marekani.
Akichonga na Star Showbiz, dairekti kutoka kwenye ardhi hiyo ya Donald Trump, AY mwenye makazi katika Jiji la Calabasas, California alisema ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu kwamba siku moja awe na makazi kwenye taifa hilo mbali na alipozaliwa Tanzania.
“Siri ya kuja kuishi Marekani ni kwamba hii ilikuwa ndoto yangu ya muda mrefu niwe na makazi huku. Kwa hiyo kwa kufanikisha kununua mjengo Marekani kwangu nimetimiza jambo moja muhimu sana maishani mwangu na ninamshukuru Mungu,” alimaliza AY.

Source: Muungwana blog
 
Write your reply...Wenzake wa East Coast team sijui wako wapi, maisha sometimes ni kama riadha.
 
Worst thing in the world is to be back in America.
Ni bora kuugua ukoma Bongo kuliko treatment za watu weusi huko kwa Tulampu

Mkuu pambana na hali yako! Siyo kila mwafrika anayeishi US au Europe ana maisha magumu! Kuna wengine wanaishi vizuri kuliko hata waAmerica wenyewe.

By the way hata hapa bongo kuna wengine hata hizi porojo za vyuma kukaza wanazisikia kwenye viringi vya bia na nyama choma.

Either way, US au bongo kote ni pazuri kuishi. It depends hali yako iko vipi.
 
Mkuu pambana na hali yako! Siyo kila mwafrika anayeishi US au Europe ana maisha magumu! Kuna wengine wanaishi vizuri kuliko hata waAmerica wenyewe.

By the way hata hapa bongo kuna wengine hata hizi porojo za vyuma kukaza wanazisikia kwenye viringi vya bia na nyama choma.

Either way, US au bongo kote ni pazuri kuishi. It depends hali yako iko vipi.
Uko sahihi, kuna siku nlishaambiwa na mtu alimuuliza mwanae mayai yanatoka wapi akaambiwa supermarket
 
Mkuu pambana na hali yako! Siyo kila mwafrika anayeishi US au Europe ana maisha magumu! Kuna wengine wanaishi vizuri kuliko hata waAmerica wenyewe.

By the way hata hapa bongo kuna wengine hata hizi porojo za vyuma kukaza wanazisikia kwenye viringi vya bia na nyama choma.

Either way, US au bongo kote ni pazuri kuishi. It depends hali yako iko vipi.
Mkuu jambo kubwa tunalokosea ni kufanya maoni kuwa fact.

Mawazo yako wewe/maoni yako wewe unataka uwe uhalisia.
 
Uko sahihi, kuna siku nlishaambiwa na mtu alimuuliza mwanae mayai yanatoka wapi akaambiwa supermarket

hahahaha Mkuu umeua. Unajua kuna watu umasikini umetuathiri mpaka kichwani. Analinganisha hali yake kiuchumi na wengine asiowajua. Hizi porojo kwamba US maisha ni magumu sijui wanazitoa wapi. wewe sema hali yangu ni ngumu. wewe sema vyuma vimekaza mfukoni mwangu.... Kuna watu wanaishi vizuri sana huko mambeleeez. Kama maisha yamekushinda US, most likely hata ukija bongo yatakushinda tuu.
 
Back
Top Bottom