AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

Bongo huku kulitokeaga fumuko la bei za ngumba, yani hapa kinondoni tu, jumba kukuu, mtu anataka 500M.

Kumbe bora ununue US, afu utulie tu
US sehemu nyingi sana, pound for pound ya mjengo, nyumba ni rahisi kuliko Mbezi Beach,halafu nyumba zina huduma zote za jamii, zimamoto,shule za maana, barabara nzuri, maji ya uhakika, ummeunaokatika labda mara moja kwa mwaka, Amazon delivery, Netflix, broadband internet, Wi-Fi to the last tooth etc.

Tatizo Kangi Lugola atakudai mkataba wa kazi hata kama bilionea wa Arusha unataka kutembea uone dunia.
 
Hizo hela alipatia kwenye huu huu mziki wa kibongo or alikuwa na ishu zingine?
 
Hiyo nyumba uliyonunua till now si unapangisha? Imesharudisha gharama zako ulizoinunulia mkuu?

Kingine naomba kujua miji korofi marekani especially kwa black kuishi or kutembelea
 
Kuna mtu alimwagika povu humu kuwa mama ake remmy ni mrwanda ila baba mtanzania ila walikorofishana na mama remmy so mama remmy akawa anaishi huko bukoba baadae akaolewa na kigogo wa juu serikali ya kagame. So akina remmy wamelelewa sana na baba mrwanda kuliko mtanzania. A.Y awe mjanja la sivyo mbelen atarudi na kusifia alikua na ndoto za kuzeekea bongo alone[emoji23][emoji23]
Shost hebu nipe details za bidada remmy....mi nilisikia kasomea uinjinia tu mengine sijui!
 
Duuuh...wanasema babaake ni mwarabu koko wa huko bukoba....nasikia ile familia ilimnyali mama Remy mpakaa!

Unamaanisha remmy anaweza kumkimbia siku akiishiwa?
 
Hiyo nyumba uliyonunua till now si unapangisha? Imesharudisha gharama zako ulizoinunulia mkuu?

Kingine naomba kujua miji korofi marekani especially kwa black kuishi or kutembelea
Mkuu unataka uhamieko siku za karibuni nini!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwenye pesa sio mwenzio,wasingemuweza mama remmy

Ndo hivyo,mambo uzungu uzungu. Hivi kwann hawakufungia kanisani wakaenda beach ukute ndoa ya mkataba ile(hapa naikumbuka ndoa ya flav matata sijui iliishia wapi)
Duuuh...wanasema babaake ni mwarabu koko wa huko bukoba....nasikia ile familia ilimnyali mama Remy mpakaa!

Unamaanisha remmy anaweza kumkimbia siku akiishiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…