Ayatollah alalamika sana kwa kipigo kinachotembezwa na Israel

Ayatollah alalamika sana kwa kipigo kinachotembezwa na Israel

😁😁 Ayatollah anajuta kwanini nimewachokoza Israel, sasa hivi anaishi kwenye mahandaki kila siku, kila akilala anaota anawa ona wayahudi wakimmaliza, sasa hivi hawezi safari hata kwa gari akihofia Satellite Laser Weapon, yaani yuko kama digidigi
 
Kuna jambo Iran hajalielewa kuwa Israeli wana invest on intelligence na siku wakiamua basi lazma alambe vumbi. Israeli amesema anabadilisha vile anapigana ina maana yajayo nimazito sana ikiwa wataendelea mchokonoa. Kutoka maktaba Israeli wana silaa hazijawahi tumika ktk uso wa dunia. Wakati hayo yakiendelea Putin kuke Ukrainian siku zake zinasoma kama mshale vita imemkalia kooni anachoma sindano za usingizi anajuta kwa alicho kianzisha aka operation maalumu ambayo mkuu wa intelligence alimuonya asiende akamuona dhaifu... asijuwe mwenzake anajuwa umafyola wa wamarekani aka democratic
 
Huyu mzee na lile kanzu lake alikuwa mstari wa mbele kuagiza magaidi ya Waislamu yashambulie Israel, sasa wanapata majibu na bila aibu analalamika....
________

The Jerusalem PostJerusalem Post
Separator
breaking newsBREAKING NEWS

Iran's Supreme Leader says Israel is committing 'shameless crimes' against children​

By REUTERS Published: SEPTEMBER 21, 2024 12:09
Iran's Supreme Leader, Ayatollah Ali Khamenei, said on Saturday that Israel is committing "shameless crimes" against children, not combatants.

His comments came a day after an Israeli airstrike on the Lebanese capital, Beirut, killed 31 people, including three children and seven women, according to the Lebanese health ministry.
Israel inategemea marekani bila marekani watu wangeshaifuta kwenye ramani
 
Israel inategemea marekani bila marekani watu wangeshaifuta kwenye ramani
Hitler, firauni, na waarabu waliungana 1948 na kipindi hicho marekani hakuwepo bado walishindikana kufutika leo mtaweza na makundi yenu ya kigaidi
 
Back
Top Bottom