Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Titizo la vita ni kwamba ukishachagua kupigana basi ujue hauns nafasi ya kumlazimisha adui wako asipate support kutoka sehemu nyingine. Vita haina refarii, kama hujajipanga usikurupuke kushiriki

Tatizo ni kuwa mwenye vita vyake anasema je?



Bila huyo itakuwa je sasa?
 
Lakini si hicho cha kujitakia. Unajua kabisa Israel inawawinda viongozi, na wewe eti unakubali kuwa kiongozi!

Biblia si inasema tusiogope mwenye kuuwa mwili?

Kwani nani atakuwapo duniani siku zote?
 
Nsunga mkono hoja.
 
Muislam akifa ktk jihad ni ufahari kwake na tafauti na kafiri

Mkuu, Yesu Kristo (Mt. 10:28) anasema:

"Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum."

Ya kuwa kumbe yote ni ubatili mtupu!
 
Wayahudi wa Newala sasa!
 

Tatizo ni kuwa Israel Iko kama imepagawa. Kimsingi hayupo anayewaelewa:

 
Mkuu Yesu Kristo (Mt. 10:28):

Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.

Ya kuwa yote ni ubatili

Our beloved Khamenei is very scared of death!Doesn't he like to be merely articulated to the beloved martyrs?You bloody bearded hooligan,come out of your hideout!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™
Fake news
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…