Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unawaza kupigwa miti tu ukiona avatar za JF.Sawa mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza kupigwa miti tu ukiona avatar za JF.Sawa mrembo
Wewe kwani KAFIRI?Uko wapi nije nikuue uzifuate hizo thawabu.
Sawa mremboUnawaza kupigwa miti tu ukiona avatar za JF.
Mzee unaijua Taqqiyah?Uko wapi nije nikuue uzifuate hizo thawabu.
Sana.hivi ayatollah anakulaga hizo mambo?
Ila duniani kuna majina bana!
Inasemekana alietegemewa kuchukua nafasi ya marehemu naye ni marehemu. Haya Iran arushe tena makombora 200.Tunasubiri mkeka wa Mayahudi🤣
Tuone awamu hii wamemteua nani kuwahi karamu za mabikra 72
Tunawapongeza maulamaa kwa mwisho mwemaUnafuri Sasa kuona na paliwa na pilau langu wakati sihusiki na huu mgogoro😂😂😂, muda mwingine mchaguage maneno ya kutumia
Ninajaribu kuwaza kwa sauti..huyu ndiye Muyahudi aliyebezwa kwa shambulio la Novemba?Inasemekana alietegemewa kuchukua nafasi ya marehemu naye ni marehemu. Haya Iran arushe tena makombora 200.
Mwingine kiongozi wa Hamas alijificha huko Northern Lebanon nae tayari!Tunawapongeza maulamaa kwa mwisho mwema
Ninajaribu kuwaza kwa sauti..huyu ndiye Muyahudi aliyebezwa kwa shambulio la Novemba?
Ndio huyu aliyebezwa huko Gaza?
Kobaz wote wa jf sasa jf ni ya moto😄
Yaani muyahudi anavuna roho za magaidi kama vile mapera
Bora ushindane na kifo kuliko Mayahudi, hawa jamaa ni zaidi ya kifo.Mwingine kiongozi wa Hamas alijificha huko Northern Lebanon nae tayari!